The Senetor
Member
- Aug 23, 2014
- 41
- 23
Kitendo cha kufukuzwa kazi mwanasheria mkuu wa Zanzibar ni madhara ya kura ya wazi ambayo ilileta mtafaruku sana.Maana ingekuwa ni siri isingejulikana na pia uhuru wake wa kuchagua umeingiliwaa,pia mwanasheria huyu alijitetea kuwa serikali ya Zanzibar haikuwa na msimamo katika miundo ya serikali kati ya 2 au 3 hivyo alipiga kwa maslahi ya nchi na kwa utashi wake hata ningekuwa mimi lazima ningechagua mmoja wapo kama Boss wangu hana msimamo.
Pia Naamini hata UKAWA wangebaki na mjumbe wao angepiga kura ya Ndio nae pia angekuwa matatani.Chukulia katika kuikubali katiba wananchi nao watakiwe kupiga kura za wazi nadhani hakutakalika kutakuwa na mgawanyiko mkubwa kwenye jamii na hata machafuko, kwa mfano mwanaume anaweza kupiga kura ya Hapana na mkewe akapiga ya Ndio watoto nao wakapiga za ndio na hapana unadhani hiyo familia itakuwa salama?
Siku zote tutumie demokrasia ya kweli kwa kutetea hoja zetu na maslahi yetu na si kuinajisi demokrasia kupitisha uchafu, Hili liwe funzo kwa watawala wetu maana mnaweza kuleta machafuko makubwa sana kwa jambo dogo sana.Always knowledge will govern ignorance no matter how many times ignorance tries to lead at the end it will be naked and ashamed.
Pia Naamini hata UKAWA wangebaki na mjumbe wao angepiga kura ya Ndio nae pia angekuwa matatani.Chukulia katika kuikubali katiba wananchi nao watakiwe kupiga kura za wazi nadhani hakutakalika kutakuwa na mgawanyiko mkubwa kwenye jamii na hata machafuko, kwa mfano mwanaume anaweza kupiga kura ya Hapana na mkewe akapiga ya Ndio watoto nao wakapiga za ndio na hapana unadhani hiyo familia itakuwa salama?
Siku zote tutumie demokrasia ya kweli kwa kutetea hoja zetu na maslahi yetu na si kuinajisi demokrasia kupitisha uchafu, Hili liwe funzo kwa watawala wetu maana mnaweza kuleta machafuko makubwa sana kwa jambo dogo sana.Always knowledge will govern ignorance no matter how many times ignorance tries to lead at the end it will be naked and ashamed.