PreGE2025 Mwanasheria mkuu wa serikali ashangazwa Kauli za No reforms No election, asema reforms zimeshafanyika

PreGE2025 Mwanasheria mkuu wa serikali ashangazwa Kauli za No reforms No election, asema reforms zimeshafanyika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema anashangazwa na kauli ya “No reforms, no election” ikizingatiwa kuwa mabadiliko ya kisheria yaliyopendekezwa na vyama vya siasa tayari yamefanyika.

Akizungumza leo Jumamosi Juni 21, 2025, kwenye kongamano la kwanza la kitaifa la kisheria lililofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam, Johari amesema mageuzi hayo yamefanyika kupitia mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai.

Ameeleza kuwa mapendekezo hayo yalijumuisha kutungwa kwa Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi, kuunganisha sheria ya uchaguzi wa Rais na serikali za mitaa mchakato uliokamilika mwaka 2024 na kuboresha Sheria ya Vyama vya Siasa kwa kuimarisha ushiriki wa makundi maalumu.

"Yote haya yametekelezwa kutokana na maoni ya vyama vya siasa. Sasa mtu anaposema ‘No reforms, no election’, inashangaza, kwa sababu reforms zimeshafanyika,” amesema Johari.

Mgeni rasmi katika kongamano hilo linaloendelea ni Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete.
Ikumbukwe kuwa kwa takriban miezi minne nyakati tofauti, Chadema kimekuwa kikinadi kampeni yake ya No reforms, no elections’ nchi nzima kikishinikiza kufanyika kwa mabadiliko ya sheria za uchaguzi, kabla ya kwenda kwenye uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu.

Chanzo: Mwananchi​
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema anashangazwa na kauli ya “No reforms, no election” ikizingatiwa kuwa mabadiliko ya kisheria yaliyopendekezwa na vyama vya siasa tayari yamefanyika.

Akizungumza leo Jumamosi Juni 21, 2025, kwenye kongamano la kwanza la kitaifa la kisheria lililofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam, Johari amesema mageuzi hayo yamefanyika kupitia mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai.

Ameeleza kuwa mapendekezo hayo yalijumuisha kutungwa kwa Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi, kuunganisha sheria ya uchaguzi wa Rais na serikali za mitaa mchakato uliokamilika mwaka 2024 na kuboresha Sheria ya Vyama vya Siasa kwa kuimarisha ushiriki wa makundi maalumu.

"Yote haya yametekelezwa kutokana na maoni ya vyama vya siasa. Sasa mtu anaposema ‘No reforms, no election’, inashangaza, kwa sababu reforms zimeshafanyika,” amesema Johari.

Mgeni rasmi katika kongamano hilo linaloendelea ni Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete.
Ikumbukwe kuwa kwa takriban miezi minne nyakati tofauti, Chadema kimekuwa kikinadi kampeni yake ya No reforms, no elections’ nchi nzima kikishinikiza kufanyika kwa mabadiliko ya sheria za uchaguzi, kabla ya kwenda kwenye uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu.
Akili zinawaza ubwabwa huyo
 
Hamza johari amevimbiwa !
Amekubali kujingishwa naye akajingika.
Tumuonee huruma ana ugonjwa wa UJINGA WA KIHALAIKI.
Anataka kutuambia JAMBAZI akivaa KANZU Anakuwa IMAM Wa msikiti??¿ kwamba tume kubadilishwa jina inatosha kuwa HURU???
 
Tatizo hawa ambao hawafikii hata asilimia mbili ya population upeo wao unazuiwa na kuamini katika kumiliki pesa, magari na majumba kama ndio mafanikio na ukiwaambia amani na vurugu wanawaza ni cdm au TL ndio wa kuiondoa. Hawaelewi kabisa kuwa nchi hii ina watu karibia millioni 70.
Hiyo wanaamini kuwa na akili ni pale account yako inapokuwa na million kadhaa, kumiliki appartmennts za kupangisha na kutembelea SUV na kuwaona wsio na hivyo kuwa ni wajinga na wasioelewa.
Haya bwana reforms zimefanyika. I wish mtu angelimuuliza Ndugai aliyowa treat waliokuwa tofauti naye pale buneni Vs leo
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema anashangazwa na kauli ya “No reforms, no election” ikizingatiwa kuwa mabadiliko ya kisheria yaliyopendekezwa na vyama vya siasa tayari yamefanyika.

Akizungumza leo Jumamosi Juni 21, 2025, kwenye kongamano la kwanza la kitaifa la kisheria lililofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam, Johari amesema mageuzi hayo yamefanyika kupitia mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai.

Ameeleza kuwa mapendekezo hayo yalijumuisha kutungwa kwa Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi, kuunganisha sheria ya uchaguzi wa Rais na serikali za mitaa mchakato uliokamilika mwaka 2024 na kuboresha Sheria ya Vyama vya Siasa kwa kuimarisha ushiriki wa makundi maalumu.

"Yote haya yametekelezwa kutokana na maoni ya vyama vya siasa. Sasa mtu anaposema ‘No reforms, no election’, inashangaza, kwa sababu reforms zimeshafanyika,” amesema Johari.

Mgeni rasmi katika kongamano hilo linaloendelea ni Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete.
Ikumbukwe kuwa kwa takriban miezi minne nyakati tofauti, Chadema kimekuwa kikinadi kampeni yake ya No reforms, no elections’ nchi nzima kikishinikiza kufanyika kwa mabadiliko ya sheria za uchaguzi, kabla ya kwenda kwenye uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu.
View attachment 3377805
Chanzo: Mwananchi​
Huyu mtumika kama condom tu....japo nayeye analambishwa hongo ili waizi waendelee kupiga pesa...hiyo nafasi alipewa dezo dezo baada ya kukamilisha deal la kuuza bandari
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema anashangazwa na kauli ya “No reforms, no election” ikizingatiwa kuwa mabadiliko ya kisheria yaliyopendekezwa na vyama vya siasa tayari yamefanyika.

Akizungumza leo Jumamosi Juni 21, 2025, kwenye kongamano la kwanza la kitaifa la kisheria lililofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam, Johari amesema mageuzi hayo yamefanyika kupitia mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai.

Ameeleza kuwa mapendekezo hayo yalijumuisha kutungwa kwa Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi, kuunganisha sheria ya uchaguzi wa Rais na serikali za mitaa mchakato uliokamilika mwaka 2024 na kuboresha Sheria ya Vyama vya Siasa kwa kuimarisha ushiriki wa makundi maalumu.

"Yote haya yametekelezwa kutokana na maoni ya vyama vya siasa. Sasa mtu anaposema ‘No reforms, no election’, inashangaza, kwa sababu reforms zimeshafanyika,” amesema Johari.

Mgeni rasmi katika kongamano hilo linaloendelea ni Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete.
Ikumbukwe kuwa kwa takriban miezi minne nyakati tofauti, Chadema kimekuwa kikinadi kampeni yake ya No reforms, no elections’ nchi nzima kikishinikiza kufanyika kwa mabadiliko ya sheria za uchaguzi, kabla ya kwenda kwenye uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu.
View attachment 3377805
Chanzo: Mwananchi​
Kweli zimefanyika tumeziona kwenye serikali za mitaa mwaka jana.
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema anashangazwa na kauli ya “No reforms, no election” ikizingatiwa kuwa mabadiliko ya kisheria yaliyopendekezwa na vyama vya siasa tayari yamefanyika.

Akizungumza leo Jumamosi Juni 21, 2025, kwenye kongamano la kwanza la kitaifa la kisheria lililofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam, Johari amesema mageuzi hayo yamefanyika kupitia mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai.

Ameeleza kuwa mapendekezo hayo yalijumuisha kutungwa kwa Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi, kuunganisha sheria ya uchaguzi wa Rais na serikali za mitaa mchakato uliokamilika mwaka 2024 na kuboresha Sheria ya Vyama vya Siasa kwa kuimarisha ushiriki wa makundi maalumu.

"Yote haya yametekelezwa kutokana na maoni ya vyama vya siasa. Sasa mtu anaposema ‘No reforms, no election’, inashangaza, kwa sababu reforms zimeshafanyika,” amesema Johari.

Mgeni rasmi katika kongamano hilo linaloendelea ni Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete.
Ikumbukwe kuwa kwa takriban miezi minne nyakati tofauti, Chadema kimekuwa kikinadi kampeni yake ya No reforms, no elections’ nchi nzima kikishinikiza kufanyika kwa mabadiliko ya sheria za uchaguzi, kabla ya kwenda kwenye uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu.
View attachment 3377805
Chanzo: Mwananchi​
Ukiona zinapingwa Kuna mapungufu, fanyieni kazi
 
Na hayo majibu ndio ninajua hata siku wakikaa mezani ndio yatakuwa hayo na hizo reforms wanazotaka kama zipo kumi huenda zikakubaliwa tano na kukataliwa tano ni mwisho wa siku tukawa palepale tulipo sasa..., In short kushinda hivi vita unahitaji umakini na kufuata Ushauri wa Sun Tzu.....;

Ndio maana kuna siku niliuliza...

 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema anashangazwa na kauli ya “No reforms, no election” ikizingatiwa kuwa mabadiliko ya kisheria yaliyopendekezwa na vyama vya siasa tayari yamefanyika.

Akizungumza leo Jumamosi Juni 21, 2025, kwenye kongamano la kwanza la kitaifa la kisheria lililofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam, Johari amesema mageuzi hayo yamefanyika kupitia mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai.

Ameeleza kuwa mapendekezo hayo yalijumuisha kutungwa kwa Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi, kuunganisha sheria ya uchaguzi wa Rais na serikali za mitaa mchakato uliokamilika mwaka 2024 na kuboresha Sheria ya Vyama vya Siasa kwa kuimarisha ushiriki wa makundi maalumu.

"Yote haya yametekelezwa kutokana na maoni ya vyama vya siasa. Sasa mtu anaposema ‘No reforms, no election’, inashangaza, kwa sababu reforms zimeshafanyika,” amesema Johari.

Mgeni rasmi katika kongamano hilo linaloendelea ni Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete.
Ikumbukwe kuwa kwa takriban miezi minne nyakati tofauti, Chadema kimekuwa kikinadi kampeni yake ya No reforms, no elections’ nchi nzima kikishinikiza kufanyika kwa mabadiliko ya sheria za uchaguzi, kabla ya kwenda kwenye uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu.
View attachment 3377805
Chanzo: Mwananchi​
Hao chadomo wanachokitafuta ni kt kingine wanajua kabisa hawawezi kushinda uchaguzi wameona waharibu nchi yetu km alivyosema mwenyekiti wao kuwa watakinukisha. Uzuri nchi yetu iko imara walishastukiwa mapema na kwisha hbr yao
 
Hamza johari amevimbiwa !
Amekubali kujingishwa naye akajingika.
Tumuonee huruma ana ugonjwa wa UJINGA WA KIHALAIKI.
Anataka kutuambia JAMBAZI akivaa KANZU Anakuwa IMAM Wa msikiti??¿ kwamba tume kubadilishwa jina inatosha kuwa HURU???
We ngedere kaharishe huo uchafu tumboni
 
Back
Top Bottom