Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Katika kile kinachoonekana ‘mbio za kugombea lango lililo huru’, mwanasheria Godfrey Maduhu amejitokeza na kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi kwa ajili ya kumteua kugombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Jimbo hilo liko huru baada ya aliyekuwa mbunge wake, hayati Faustine Ndugulile kufariki dunia na kanuni za uchaguzi kuzuia kufanyika uchaguzi mdogo kutokana na muda uliokuwa umesalia kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Jimbo hilo liko huru baada ya aliyekuwa mbunge wake, hayati Faustine Ndugulile kufariki dunia na kanuni za uchaguzi kuzuia kufanyika uchaguzi mdogo kutokana na muda uliokuwa umesalia kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu.