Mwananyamala kadi ya mgonjwa 3000?

Mwananyamala kadi ya mgonjwa 3000?

Lumbi9

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2014
Posts
8,738
Reaction score
12,424
Sasa watu mpo ktk matatizo hiyo hela unaitoa wapi? Ina maana nchi hii tunashindwa kufanya vitu muhimu kama hivi kuwa simple, dah! haya bhana tutafika tu
 
CCM mbele kwa mbele
mmeipenda wenyewe
Hapa Kazi tu

Ukitaka mabadiliko ya kweli Fanya maamuzi sahihi
 
Hospital nyingi wamepandisha bei makusudi ili watu waache kupata tiba kwa kulipa hapohapo wajanja wanakata bima ya jamii 5,000 kwa kaya mnatibwa mwaka mzima
 
Kama mgonjwa anatozwa sh 3000, je asie mgonjwa atalipizwa kiasi gani ???? sisiemu mbele kwa mbele. na bado
 
Sasa watu mpo ktk matatizo hiyo hela unaitoa wapi? Ina maana nchi hii tunashindwa kufanya vitu muhimu kama hivi kuwa simple, dah! haya bhana tutafika tu

tena hiyo 3000 ni kwa mgonjwa aliyepewa barua ya rufaa toka vituo mbali mbali vya afya,kama mtu hana barua ya rufaa anatakiwa atoe 6000.
 
tena hiyo 3000 ni kwa mgonjwa aliyepewa barua ya rufaa toka vituo mbali mbali vya afya,kama mtu hana barua ya rufaa anatakiwa atoe 6000.

Yote hiyo inatokana na ubishi tu mnaimbiwa kila siku kukata bima ya jamii 5,000 kwa kaya matibabu kwa mwaka mzima hamtaki sasa wameamua kupandisha bei ili mjiunge kwa nguvu
 
Yote hiyo inatokana na ubishi tu mnaimbiwa kila siku kukata bima ya jamii 5,000 kwa kaya matibabu kwa mwaka mzima hamtaki sasa wameamua kupandisha bei ili mjiunge kwa nguvu



hujaijua serikali ya ccm ilipolenga inataka kuwe na taasisi ambazo itakuwa inakopa pesa kirahisi je unajua serikali ya ccm inadaiwa kiasi gani kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii?
 
hujaijua serikali ya ccm ilipolenga inataka kuwe na taasisi ambazo itakuwa inakopa pesa kirahisi je unajua serikali ya ccm inadaiwa kiasi gani kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii?

Acha kupotosha kama hujui nini naongelea omba kuelimishwa, Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii ni fedha ambazo zinatumika kwenye kituo husika wala hazipelekwi sehemu yoyote. Kuna Wilaya zimegipa hatua kubwa sana kwa kutumia Mfuko huo Mfano ni Iramba wananchi wengi wamejiunga kwenye mfuko huo, huduma zimeboreka sana na hata tatizo la ukosefu wa madawa limekwisha ukienda hadi kwenye zahanati za vijijini ndani kabisa utakuta dawa za kutosha.
 
hujaijua serikali ya ccm ilipolenga inataka kuwe na taasisi ambazo itakuwa inakopa pesa kirahisi je unajua serikali ya ccm inadaiwa kiasi gani kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii?
mifuko ya hifadhi ya jamii kuikopa serikali sio Tanzania tu,pesa haziwezi kukaa tu bank zisizunguke,
 
Back
Top Bottom