Mwizukulu wa Buganda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2024
- 638
- 1,771
Kijana Adriano Amos kutoka Rukwa amemhoji Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba kuwa lini Serikali itaunda katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, akaongeza kuwa najua kesho naweza kuamkia kuzimu, lakini swali langu ndilo hilo.
Haya yanajiri katika ziara ya Waziri Mkuu katika mkoa wa Rukwa.
Haya yanajiri katika ziara ya Waziri Mkuu katika mkoa wa Rukwa.