Mwanamuziki King Giovann afariki dunia

muhomakilo jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
15,906
Reaction score
14,873
Mwanamuziki King Giovann aliyewahi kupitia bendi kadhaa kama FM academia na Chuchu sound amefariki dunia. King alikuwa mahili katika ucharazaji wa gitaa la solo amefariki ghafra muda mfupi uliopita.

Kwa mujibu wa King Dodoo,King amefariki baada ya kuugua pressure muda mfupi kabla ya kifo chake kutokea. Taratibu zingine zitatolewa baadae...R,I,P.

Mwenye kibao cha narafiki cha Chuchu sound atupie tumkumbuke King.
 
R,.i.P king...Nakumbuka enzi za Chuchu sound...
Yusuph Chuchu..R.i.P
Mao santiago...R.iP
Manyama Chainiz...R.I.P
Gabi Katanga...R.i.P
Muddy Kachumbali...R.i.P
Udongo unameza watu aisee..R.i.P.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…