Mwanamke yeyote anahitaji Matunzo...

Nilishasema na nasema..mwanaume ili upate heshima..ni lazima uhudumie mwanamke..awe mke, kimada or call.mchepuko. kwa sababu..tagsiri ya kupenda kwa mwanamke..ni kujaliwa..kudekezwa..kuhurumiwa...hibyo kutoa ni njia sahihi ya kufhibitisha upendo..na hii si.mila bali ni nature..na mke nae ili apewe hela...lazima aonyeshe heshima kwa king wake. Haya mawili yakiwepo..mahusiano ni raha tupu! Tatizo.siku hizi hali ya uchumi inatuchanganya..haya tunaona majukumu yasiosahihi...ndio maana inakuwa ngumu kuwajali ....ushauri tu..we usijari mkeo..jua akitokea mwenye kujua siri hii..imekula kwako...utaacha wote duniani...maana wote wameumbwa hivyo!
 
Ajabu ni kwamba hata wale wanawake wanaopenda 50/50 watakuja kuunga mkono hoja
[emoji23][emoji23][emoji23] 50/50 inabidi iwe kwenye huduma za kijamii tu(Mfano Elimu),tofauti na hapo ni uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…