siku hizi wote tuna maadili mema labda hiyo miaka ndo kizai zai af mapenzi hayachangui maadili mema au umri.
Mkuu hapo kwenye umri umebugi meeen,Habari ndugu!! Hii trend n kwa mwanamke ambaye yuko serious na anahitaji ndoa !! Umri 18-22. Awe ana maadili mema. Na yamkin umekaa ukimuomba Mungu kwa muda mrefu akupe mume anayempenda mungu!! Donot ignore!! Tuwasiliane kupitia
alltomyjesus@gmail.com
waitng for u!! Hutajuta!!
vizuri, lakin sio wote wanaweza kulipokea jambo hili.[/QUOTE
ki vipi?kuoa au kuolewa sio jambo rahisi na kumpata mtu wa humu mpaka umfanyie uchunguzi wa kutosha inawezekana hata umri wake sio ambao unaohitaji.
Mkuu hapo kwenye umri umebugi meeen,
Kwanza hujaweka umri wako halafu kizazi hiki hakuna binti mwemnye umri huo anayeota kuolewa, wanakula bata kwanza mpaka wakifiksiha 30 ndio wanaanza kufikiria kuolewa... yaani aache kula maisha akimbilie kuolewa na kuwa chini ya amri ya mtu.
Hapo hupati mie tu ndiye niliyebahatisha kwa Mama Ngina yeye nilimuoa akiwa na miaka 20 wakati mimi nilikuwa na miaka 35.....
mmh! kweli?
Mkuu hawa mademu wa humu ni "DON'T TRY THIS!!!!
Mkuu hapo kwenye umri umebugi meeen,
Kwanza hujaweka umri wako halafu kizazi hiki hakuna binti mwemnye umri huo anayeota kuolewa, wanakula bata kwanza mpaka wakifiksiha 30 ndio wanaanza kufikiria kuolewa... yaani aache kula maisha akimbilie kuolewa na kuwa chini ya amri ya mtu.
Hapo hupati mie tu ndiye niliyebahatisha kwa Mama Ngina yeye nilimuoa akiwa na miaka 20 wakati mimi nilikuwa na miaka 35.....
weka pics zako kwanza we unataka za wenzio wakati yako hujaweka hapa.
ndio maana nimeweka email address hapo chini kila kitu kitakuwa wazi!!
kweli Lilly
karibu
Mkuu hapo kwenye umri umebugi meeen,
Kwanza hujaweka umri wako halafu kizazi hiki hakuna binti mwemnye umri huo anayeota kuolewa, wanakula bata kwanza mpaka wakifiksiha 30 ndio wanaanza kufikiria kuolewa... yaani aache kula maisha akimbilie kuolewa na kuwa chini ya amri ya mtu.
Hapo hupati mie tu ndiye niliyebahatisha kwa Mama Ngina yeye nilimuoa akiwa na miaka 20 wakati mimi nilikuwa na miaka 35.....
Yaani ule ule umri wa middle age crisis utanipitia mbali maana mama Ngina atakuwa ndio kwanza anadai, lakini ningeoa same age, angefika menopause halafu mie ndio kwanza nadai, sasa si ndio ningeanza kukimbizana na vibinti na kuchunwa ile mbaya....na Ukimwi juuKha! Mtambuzi ulikaonea 15 juu?