Mwanamke: Umemuandalia nini mumeo/familia yako sikukuu hii ya Eid?


Dada gfsonwin shaka ondoa nitakuwepo mwenyewe mzee wa madikodiko, nitaandaa menyu ya uhakika kama ya Shelatoni.....................LOL
 
Last edited by a moderator:
nipo huku chanika, wapajua? loh....
BADILI TABIA mie tena mzee wa ndoa ya mkeka Ununio............ Enzi zile nikipigisha miziki kwenye kuwatoa wali wa kizaramo nimevuruga uzaramoni yote kuanzia, Kipalang'anda, Tambuka Reli, Mzenga yote hiyo nimemaliza, Bonyokwa, Chanika, Kazimzumbwi, Kisarawe yote hiyo mpaka Kimanzinchana.................. Utaniambia nini mie mtoto wa mjini bana........LOL
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…