Kama anajiuza si bora aseme mapema ili ijulikane moja.Kama huna pesa ya kumtatulia shida zake mpenz wako, unakuwa na mpenzi wa kazi gani?
Ili iwe bila bila nawe usiombe papuchi mpaka utawala huu uishe, hakuna papuchi mpk msmamo ubdlke
Na sio wanatoa moyo umeridhia, anaona km anajidhalilisha kumpa mwanamke wake ka efu50Meanwhile wengine iyo 50 wanatoa bila kuombwa.
Tutafute pesa aisee
Ila kiuhalisia hakumaanisha mwanamke, alikuwa anasema na wale wa kujiandaa kuingia form 1 mwaka keshoKama huna pesa ya kumtatulia shida zake mpenz wako, unakuwa na mpenzi wa kazi gani?
Ili iwe bila bila nawe usiombe papuchi mpaka utawala huu uishe, hakuna papuchi mpk msmamo ubdlke
Ila kiuhalisia hakumaanisha mwanamke, alikuwa anasema na wale wa kujiandaa kuingia form 1 mwaka kesho
Kama anajiuza si bora aseme mapema ili ijulikane moja.
Lakini unapo date na mwanafunzi mwenzako unategemea akupe hayo mahitaji kweli ?hpn, mwngne hajiuzi...lkn kuna vitu vingne unapompa mpenz wako ata yeye mwenyewe anajisikia furaha kwmb unamjali , ata kama ni kidg, si lazm kiwe kikubwa
Lkn unakaa kazi kumtishia maneno makali kama alotoa apo juu...khaa inahuuuu
Kama huna pesa ya kumtatulia shida zake mpenz wako, unakuwa na mpenzi wa kazi gani?
Ili iwe bila bila nawe usiombe papuchi mpaka utawala huu uishe, hakuna papuchi mpk msmamo ubdlke
Tutaua watu mwaka huukweli mkuu
Welele weleleNa pesa hakuna
Yelele, yelele