Mwanamke ukitaka kuniibia vaa shanga.

Dah pole sana
 
Si kweli, ondoa huu upuuzi kichwani mwako. Si kila mtu anapenda kula pipi.

Mkuu ngoja nikwambie kitu..

Upate kitu light skinned, kimejaaa huko mahali pa kukalia. Kisafi kila mahali na zile zinazozungumzwa hapa ziwe na rangi ya bia.

Makao Makuu na suez canal panakishiwe na mafuta ya nazi au olive oil.

Kicheze mziki ulipo kwa muda huo kama feni bovu, slowly but surely...

Sasa ndugu yangu ukikutana na kitu hakieleweki kina rangi gani, juu mpaka chini ana rangi kama za upinde wa mvua. Zinazozungumzwa hapa zina rangi ya ajabu ajabu. Utapendaje hizo mambo Mkuu.. Lazima uwe hateful
 
Hahahahaaaa yalimtokea sister yangu kwa husband yake
 
Mweeeee wanaume aiseee sio watuu wakawaida ndio maana wengine wamegoma kuolewa sisi wengine tunaroho ganii, nawaza tuu
 
kipindi nipo tabora nikakutana na dem kavaa kama 15 eh nikashangaa nikamuuliza nini hiyo akanijibu "kwani hujui" ehe nikaona leo nimepatikana nikaogopa nikajua uyu mwanga nilikula kiwoga ila ndo tuliachana mazima
Hadi leo nikiona hayo madude na hiyo papuch nahairisha wiki ndo nifikirie tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…