MWANAMKE SIKILIZA!!!

Nipo serious!!!
Wanakwambia elima mwanamke kwanza huyo mwanaume ataelekezwa na mke tu
Kweli umsihi mwanamke kwa gazeti reeeeefu halafu mwanaume kaaya ka mistari miwili kweli[emoji134][emoji134][emoji134]
Hauko serious.
 
Kwenye hii dunia yenye watu billion saba?

Anyway, mwambie aje anijaribu!

[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe umeshindikana.
 
Kwenye hii dunia yenye watu billion saba?

Anyway, mwambie aje anijaribu!

[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwanaume ambaye ana mwanamke mmoja tu na anamhudumia kikamilifu huyo mwanamke mahitaji yake yote kiuchumi ndo anayestahili kufanyiwa hayo yote na huyo mwanamke wake
 
Wakati jamii iko busy kumuandaa mtoto wa kike, wanasahau mtoto wa kiume!

Ndoa imara inajengwa na mke na mume wenye maadili, upendo, heshima na uvumilivu!
 
Wakati jamii iko busy kumuandaa mtoto wa kike, wanasahau mtoto wa kiume!

Ndoa imara inajengwa na mke na mume wenye maadili, upendo, heshima na uvumilivu!
Matokeo yake wanaume wanaona ndoa ni hisani kwa mwanamke, hivyo ni juhudi zake kuhakikisha anabakia humo.
 
Wewe haumo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwanaume ambaye ana mwanamke mmoja tu na anamhudumia kikamilifu huyo mwanamke mahitaji yake yote kiuchumi ndo anayestahili kufanyiwa hayo yote na huyo mwanamke wake
 
Ndio maana wote wame aswa hapo juu.
Wakati jamii iko busy kumuandaa mtoto wa kike, wanasahau mtoto wa kiume!

Ndoa imara inajengwa na mke na mume wenye maadili, upendo, heshima na uvumilivu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…