Kosa sio lao, ni la mwanaume kwa kuwa wanaogelea ununio beach ni waogeleaji kama unaolinda coco.Tufanye mgomo wa Taifa wa kupinga michepuko watatulia tu kwao Ila kwa wale wasio na hati miliki ya mwanaume hata mmoja ni shiiida mniwie radhi tafadhar ni mtazamo tu haitakaa itokee.