Kama unayemtafuta ni mwanamke mzuri wa sura, una kazi kubwa kwani wapo wengi, na baadhi yao uzuri wa sura zao siyo halisi, umekarabatiwa kwa namna mbali mbali. Mimi ninakupa ushauri, utafute "Mke MWEMA" ambaye sifa zake zimeorodheshwa hapa: Biblia Takatifu, "Mithali 31:10-31". Zingatia sana Mstari wa 30. Anapatikanaje? Kwa kuomba na kwa kufunga....!
Mwanamke mzuri ni yule Mwenye hofu ya Mungu,Anayekupenda,anayejua kupika chakula kitamu,Msafi wa mwili na tabia,Anayejua kukata viuno kwenye 6*6,zingine mbwembwe tu!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.