Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,828
- 2,153
Wanajamii habari zenu?
Leo nakuja kwenu na mada ya ndoa au uchumba...
Hivi huwa ni kweli mwanamke anaweza kuamua ni muda gani aolewe? Au vile vile kumbe na wao huwa wanatafuta wachumba wa kuolewa nao? (Pale umri wake unaporuhusu).
Ni hivi kuna mabinti watatu tofauti ambao nilimaliza nao shule ya secondary- miaka kumi na mbili sasa. Mpaka sasa niandikapo huu uzi 'ni kwamba hawajaolewa' Nilipowauliza kwanini hawajaolewa mpaka sasa.
Wawili waliniambia "bado hawajaamua tu". Mmoja akanambia yeye bado anatafuta. Lakini vile vile kuna wanawake wawali ambao waliolewa, wakaachika (ni mda mrefu sasa), nilipowauliza (kila mtu kwa wakati wake) kwa nini mpaka sasa hawajapata wenza wengine.Wakaniambia "hawajaamu tu".
Je; ni kweli wanawake/mabinti huwa wanaamua " sasa niolewe au nisiolewe"? Je; ni kweli kwamba na wao huamua aolewe na nani?
Nawaachieni mjadili.
Leo nakuja kwenu na mada ya ndoa au uchumba...
Hivi huwa ni kweli mwanamke anaweza kuamua ni muda gani aolewe? Au vile vile kumbe na wao huwa wanatafuta wachumba wa kuolewa nao? (Pale umri wake unaporuhusu).
Ni hivi kuna mabinti watatu tofauti ambao nilimaliza nao shule ya secondary- miaka kumi na mbili sasa. Mpaka sasa niandikapo huu uzi 'ni kwamba hawajaolewa' Nilipowauliza kwanini hawajaolewa mpaka sasa.
Wawili waliniambia "bado hawajaamua tu". Mmoja akanambia yeye bado anatafuta. Lakini vile vile kuna wanawake wawali ambao waliolewa, wakaachika (ni mda mrefu sasa), nilipowauliza (kila mtu kwa wakati wake) kwa nini mpaka sasa hawajapata wenza wengine.Wakaniambia "hawajaamu tu".
Je; ni kweli wanawake/mabinti huwa wanaamua " sasa niolewe au nisiolewe"? Je; ni kweli kwamba na wao huamua aolewe na nani?
Nawaachieni mjadili.