K kanguse Member Joined Feb 4, 2015 Posts 42 Reaction score 8 Apr 9, 2015 #1 Wadau, Hili jambo bado sija liamini hivi ni kweli mwanamke mzuri ni yule anaetunzwa na hata kama ana sura mbaya jamani naye akitunzwa anakuwa na sura nzuri. Nisaidieni kujibu swali hili ili niwe sawa
Wadau, Hili jambo bado sija liamini hivi ni kweli mwanamke mzuri ni yule anaetunzwa na hata kama ana sura mbaya jamani naye akitunzwa anakuwa na sura nzuri. Nisaidieni kujibu swali hili ili niwe sawa
Jembemtaji JF-Expert Member Joined Aug 21, 2014 Posts 1,192 Reaction score 928 Apr 9, 2015 #2 Matunzo kwan ye gari?
King's daughter JF-Expert Member Joined Nov 3, 2014 Posts 690 Reaction score 198 Apr 9, 2015 #3 Umeuliza swali? au jibu? mwenye sura mbaya ndo yukoje?