Ni mtaji tosha kwa maskini kwa matajiri wakubwa hiyo ni pesa ya kumnunulia mchumba Pete ya uchumba ya Almasi tupu na chain za kuvaa za madini ghali.tulushaongea sana humu kuwa kila MTU aoe saizi yake.Huyo mtoto wa kike unakuta wazazi wake wamempa biashara na maghorofa ulaya na marekani na anamiliki ndege za abiria na visima vya mafuta kwake milioni 500 ni nini?tatizo hapa maskini ambao hawajawahi shika hata milioni 10 wataka dezo ndio wanajitia ohh anajiuza.unaijua hadhi ya huyo mwanamke?