miss charming
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 910
- 904
Mm nitakubali haraka lakn kama ulikuwa na bad intentions utajutraa utang'oka mwenyewe
Tinhii thanksLadha ya kuku wa kienyeji inaanzie pale unapoanza kumkimbiza, unamkamata ndio unachinja!
Hapo supu yake inakuwa tamu sana...unaisubiria kwa bashasha!
Agata slow but sure... ahahahaha... Wallah ntaanza kuja inbox kwako tuanze taratibu... AU SIYO AGATA?Sio kila mwanamke anayekuzungusha maana yake anaaigiza mwingine siku zinavyoenda ndo mapenzi yanazariwa
mmmmmmhMm nitakubali haraka lakn kama ulikuwa na bad intentions utajutraa utang'oka mwenyewe