Hivi umeelewa ulichoquote kweli, au umuhemkwa tu!!!Si kweli ladba we hutamaniwi kwasababu huna mvuto.
Pia wengine wameacha mahusiano kwa sababu ya usaliti ila bado wanataman wanawake.
We kama hutongozi isiwe gia ya kusma wanaume hawataman!
Vinginevyo na ww ni mle mle tuu.
mwisho wao unakuwaje? omba hela kwa mwanaume fanya mtaji ila siyo kila siku kuombaomba, ndo maana sasa hivi wanaume mnapenda vya kupewaHuwaga mnasema kwani?
Embu wacha ujinga, hao wanaopiga wanaume mkwanja sio hao tunaopishana nao daily au? mbona hawafi?
Kila mwanamke ni muuza mbunye!Habari za wana jf.
Nimekua na maoni kadhaa kuhusu dada zetu kuhusu swala la wao kutoaminika kwa sababu ya jinsia yao unajua katika jamii nyingi duniani mwanamke ndie hutongozwa Kwa maana hiyo kulingana na mazingira anayoishi ndio yanayochangia.
Miaka flan ya nyuma nimewahi kuja na ID flan kama ya kike na picha matata sana ya mwanamke nikaiweka avatar, basi hiyo siku hiyo nikapost mada kama mbili zakike moja wapo yakutafta mchumba. Duu ndugu zangu hapo nilijifunza kitu.
Kwanza nilipata pm nyingi mno hata sikumbuki maana ulikua ni utiriri wa kutisha.
Pili nilielewa wanaume wenzangu udhaifu wao mkubwa ni mwanamke. Kwa hili wanaume hatuna ujanja ni kweli kabisa udhaifu wetu upo kwa mwanamke hivyo basi nikiona hata watu wamevunja urafik au kuwa maadui sababu ya mwanamke sishangai sana.
Sasa kwa ule mtiririko wa watu ukiona mwanamke analia njaa jua kataka tuu.
Tofauti na wale wanawake wanaouza miili kambi ya fisi kule au kwenye social network zipo biashara kibao za wanawake sema wanatofautiana namna ya kujiuza kwa sababu kila mtu ana njia yake.
Kwa kupitia kule pm tayari mwanamke angekua na wateja wake wa kutosha tuu kimya kimya. Kuna mada niliona member alianzisha wanawake wataje idadi ya wanaume waliotembea nao chakushangaza hakuna alietaja zaid ya kukwepa mada tuu.
Hapa napo niuongo mtupu kwani inakua ngumu sana kuweka idadi au mwingine anaishia kutaja watatu na anazaid ya miaka 28, kwel?? hapana hakuana mwenye uujasir wa kutaja zaid ya watu 100 au 500 hivyo wengi wanaona aibu.
Kwa mwanamke wa kawaida asie na makuu kiasi cha chini ya kutembea na wanaumi si chini ya 100 na wale wale wengine ni kwanzia 1000 na kuendelea.
Embu fikiria mitandao ya kijamii, mitaani, vyuoni, kazini na sehemu nyingine mwanamke anakua kakutana na watu wangapi?
Akianza kuomba pesa kwa team yake hiyo atatengeneza Tsh ngapi?
Chakushangaza hizo pesa sijui zinaishia wai sababu maisha yao ni yale yale tuu.
Ukitoa gharama za vipodoz na saluni na mahitaj yao private bado unabakia mpunga mrefu sana na wengine hata hawavai sana pamba kalii lakin bado wanalia njaa, this is amazing!..
Hizo pesa zinaenda wapi, ukichek hata simu kali wanayotumia hamna zaid ya vitekno? Wanaume kadhaa nimeshuhudia wakilia kulizwa malaki na mamilion ya pesa chakushangaza hatuoni output ya maana kwa hao wanawake. Sishangai taifa kubwa kama marekani kutomuweka mwanamke rais bora Trump tuu.
Hivi zile quickies za ofisini zinakuwaga za free au huwa mnacharge hela??Kuwa mwanamke raha buana!!
i don fucky with u anymore.Hivi umeelewa ulichoquote kweli, au umuhemkwa tu!!!
Maneno tu hayo .....sijawahi kulia njaa, silii njaa na sitolia njaa kwa kutegemea hela ya mwanaume, mtoa mada ungekuwa mwanamke sasa hivi ungekuwa umekufa na maradhi kwa tamaa zako za kupenda vya kupewa
Duuuuh!!! Hebu fanya uolewe, stress zako usimalizie kwangu.i don fucky with u anymore.
Tumia muda mwingi kujenga afya yako watu kama sisi hatutakusaidia chochote ulimwengu mpana ndugu.
Who are u kwani?
Mtu kutoa ushuhuda ni tatzo? We sema umeishi/unayaishi hayo maisha.
Kweli hii ni hatari kubwa kama imefika hatua hiyo.Tunakoelekea hali inazidi kuwa mbaya zaidi.
Hali ni mbaya sana dady, ujue kila kitu kina a starting point, utatamani taratiiiibu mwisho wa siku unafanya kweli. Mungu tu atusaidie na hawa watoto wetu wa kiume. Hali ni mbaya.Kweli hii ni hatari kubwa kama imefika hatua hiyo.
We fala mm sio tapeli. Nimesema nilifanya hivi kwa makusudi maalumu tuu. Sijapiga hata senti ya mtu hpo. Halafu hela za hivi hazidumu madhara yake ni mabaya sana, kwanini ule jasho la mwenzio?We jamaa ulitumia ID ya kike ilikutuchunguza wanaume ili IKUSAIDIE NINI
Maana nafikiria lengo lako hata silipatii picha
Lengo lako lilikua upige pesa za wanaume kwa kujifanya wakike au
Au ndo zile ajenda za siri za akina DAVID CAMEROON
Wewe kicheche mwanangu hawezi kuwa miongoni mwa waajiliwa wa hilo danguro unalojaribu kulipendekeza humu jamvini.Si kweli ladba we hutamaniwi kwasababu huna mvuto.
Pia wengine wameacha mahusiano kwa sababu ya usaliti ila bado wanataman wanawake.
We kama hutongozi isiwe gia ya kusma wanaume hawataman!
Vinginevyo na ww ni mle mle tuu.
Nadhani kachanganya mambo mengi kwa wakati mmoja.Hivi umeelewa ulichoquote kweli, au umuhemkwa tu!!!
Kwani ww mbuzi nani kamfata mwenzie? kama uliona mada ni ya kipuuzi we ungeendelea na maisha yako hakukuwa na haja ya kuja kutokwa povu huku?Duuuuh!!! Hebu fanya uolewe, stress zako usimalizie kwangu.
100 nautani wewe
Ni kweli, sasa kama huyu naona kujifanya mwanamke anachuma pesa za wanaume kwa hiyo anaona ikiwa yeye kafanikiwa kwa nini wanawake wenyewe wasiweze. Duuu dunia imekwisha mwanangu!Hali ni mbaya sana dady, ujue kila kitu kina a starting point, utatamani taratiiiibu mwisho wa siku unafanya kweli. Mungu tu atusaidie na hawa watoto wetu wa kiume. Hali ni mbaya.
Peleka chuki zako kuzimu huko. Sisi tunataka tuelimishe wenzetu wala si kutetea ushenzi.Wewe kicheche mwanangu hawezi kuwa miongoni mwa waajiliwa wa hilo danguro unalojaribu kulipendekeza humu jamvini.
Mwenyewe hujulikan kama ni mwanaume au mwanamke sjui we bisexual? embu tuweke waziHali ni mbaya sana dady, ujue kila kitu kina a starting point, utatamani taratiiiibu mwisho wa siku unafanya kweli. Mungu tu atusaidie na hawa watoto wetu wa kiume. Hali ni mbaya.
hakuna list ya hivyoNini?