Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,029
- 61,933
Kwa mtazamo wangu,mapenzi yana nguvu sana kwa mwanaume kuwa na juhudi katika kufanikiwa kimaisha.Yanamfanya 'me' atumie akili na nguvu zake zote ili mwisho wa siku apate utambulisho kwa 'ke'. 'Me' anapokataliwa anaongeza juhudi katika utafutaji ili alipize kisasi kwa aliyemkataa.
Bila 'ke' 'me' wasingekuwa wapambanaji katika kutafuta maisha
Bila 'ke' 'me' wasingekuwa wapambanaji katika kutafuta maisha