Kijana Jr
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 562
- 850
,,,wanawake wa namna hii wanaume tutawagegeda mpaka basi
_Tamaa ya utajiri, fedha na mali nyingi pasipo kutambua
kuwa vitu hutafutwa
- Dharau, maringo, ukiwasogelea na kujaribu
kuzungumza na Anakumpandisha na kushusha kisha msonyo
-Kuvaa nguo za ajabu ajabu kama changudoa. Sijui ni nani aliyewaambia kuwa mkivaa hivyo mnapendeza!
Unakuta binti unavaa kama mcheza show za Casino yaani ukipita
nguo yaonyesha kila kitu ukiinama ndio balaa kabisa
yaani kimin kinafunuka kila kitu nje nje kwa style hiyo nani
atakupeleka kwao?
-Kujipaka marangi ya ajabu ajabu usoni kama mwali wa
kimakonde .
-Kupenda kujirahisisha kujipendekeza pendekeza kwa
wanaume, yani ukiguswa
kidogo kosa.
- Kupiga picha unatupia fb,,whatsapp ,insta
mapozi ya ajabu ajabu, mara
umebinua makalio samba soti, mara
tumbo, mdomo umeibana kama nguruwe, Haaaaa!hivi ni nani akuchukue
-Kila unachofanya basi unakimbilia kupost mfano
kwenye Facebook account yako au Instagram na
nyinginezo hata ukienda haja
basi lazima upost" jamani nakojoa nakuja"
- Ni mtu wa maneno maneno yani we kuropoka ropoka
tu hauna break! mwanamke gani?
- Huna mawazo ya malengo endelevu yani we kwenye
bichwa lako kumejaa umbea tu
sijui leo Wema Sepetu jamani lulu,mara wolper kaiba khanga ya zari joketi kapigwa na kidoti mara shilole kapendeza
-Mizinga" Htc" mm siwezi nataka i phone " mara baby nimeona
nguo nzuri mara njaa inauma nataka mayai ya kuchemsha '' , Utasindikiza
harusi za wenzio utacheza kwaito kwenye harusi za wenzio mpaka vizigino vitakwisha na utakuja humu jf na thread zako "sina bahati"mara"wanaume wanyama " wakati wewe ndio wanyama unaliwa tu wanasepa dada shtuka wanaume wa usaw huu wa anko magu awapendi ujinga,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
_Tamaa ya utajiri, fedha na mali nyingi pasipo kutambua
kuwa vitu hutafutwa
- Dharau, maringo, ukiwasogelea na kujaribu
kuzungumza na Anakumpandisha na kushusha kisha msonyo
-Kuvaa nguo za ajabu ajabu kama changudoa. Sijui ni nani aliyewaambia kuwa mkivaa hivyo mnapendeza!
Unakuta binti unavaa kama mcheza show za Casino yaani ukipita
nguo yaonyesha kila kitu ukiinama ndio balaa kabisa
yaani kimin kinafunuka kila kitu nje nje kwa style hiyo nani
atakupeleka kwao?
-Kujipaka marangi ya ajabu ajabu usoni kama mwali wa
kimakonde .
-Kupenda kujirahisisha kujipendekeza pendekeza kwa
wanaume, yani ukiguswa
kidogo kosa.
- Kupiga picha unatupia fb,,whatsapp ,insta
mapozi ya ajabu ajabu, mara
umebinua makalio samba soti, mara
tumbo, mdomo umeibana kama nguruwe, Haaaaa!hivi ni nani akuchukue
-Kila unachofanya basi unakimbilia kupost mfano
kwenye Facebook account yako au Instagram na
nyinginezo hata ukienda haja
basi lazima upost" jamani nakojoa nakuja"
- Ni mtu wa maneno maneno yani we kuropoka ropoka
tu hauna break! mwanamke gani?
- Huna mawazo ya malengo endelevu yani we kwenye
bichwa lako kumejaa umbea tu
sijui leo Wema Sepetu jamani lulu,mara wolper kaiba khanga ya zari joketi kapigwa na kidoti mara shilole kapendeza
-Mizinga" Htc" mm siwezi nataka i phone " mara baby nimeona
nguo nzuri mara njaa inauma nataka mayai ya kuchemsha '' , Utasindikiza
harusi za wenzio utacheza kwaito kwenye harusi za wenzio mpaka vizigino vitakwisha na utakuja humu jf na thread zako "sina bahati"mara"wanaume wanyama " wakati wewe ndio wanyama unaliwa tu wanasepa dada shtuka wanaume wa usaw huu wa anko magu awapendi ujinga,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,