Mwanamke huyu sio liziki kabisa!

Mwanamke huyu sio liziki kabisa!

Shamkware

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2013
Posts
1,755
Reaction score
2,303
Habari Marafiki wa Jf poleni na majukumu ya kila siku,
Jana usiku bana mwenzenu nilipata kizungumkuti na Halimashauli yangu ya kichwa kuvurugika kabisa.
Ni baada ya kujituliza kwa muda kidogo baada ya kutokea kwa yaliyotekea kwa mpendwa wangu wa mwanzo. Hatimaye nimeangukia pua tena!
Iko hivi..... Miezi kama mitatu iliyopita nilikuwa nikimsotea binti mmoja mkali mno ukimuona kama we lijali lazima ushituke!
Tumeenda mpaka tukakubariana
kilichonifanya niandike hapa Jana jioni alini Promisi kwamba anakuja Home kwangu Nilimtumia nauli akaja kweli. Baada ya diner nikaanza mazoezi na mbwembwe kabla ya Mechi kuanza Nimepiga tizi kali vibaya mno nikiwa na furaha
Ajabu nikiwa kwenye harakati akaniambia yupo BLEED nilivocheki nikadhibisha kweli nikamuliza Kwanini umekuja ukiwa hivi na kwanini hujaniambia mi napiga jalamba uko kimya tu?
Akanijibu Hakihabiliki kitu kuwa huru kufanya lolote! Kauli hii ikanistua, Nikauliza tena Niwe huru kivipi na kufanya lolote lipi?
Akasema kama hautojali ntakupa mbadala akimanisha 071....! Nilichoka mzee akanywea nguvu zote zikaisha nikataka nimfukuze usiku ule ila basi nikona ngoja nilale tu!
Asubuhi nimeamka nikaenda kazini nimemuacha nyumbani bila hata sh. Kumi. Kazini leo sikuwa vizuri namwazia huyu ibilisi gani tena ananitafuta nini mimi jamani!
Narudi hom sasa Kutoka job nawaza nikampe tu nauli asepe Sijui kama ntakuwa nimekosea Nishaurini wana Jukwaa!
 
Mpe nauli aondoke,na siku nyingne ukome uache uzinz
 
Hayo ndo matatizo ya kukamia mechiiiiii kudadekiii mate yalikua yanakutoka ulimi nje.. ukijua unakula mzigo.

Umekwambia yuko kweny blidi
Kwa uroho wako na ulafi wa papuchi ukaamua kuhakikisha....du!!!!

Mie simlaumu huyo demu, ni ww ambaye umeanza kumhoji kwann amekuja kwako akijua yuko kwenye blidi.

Yawezekana ulimuita bila makubaliano mtafanya nn.
Acha kumlaumu...ww ndo umemfanya akutamkie 071...
Kwa jins alivyokuona ulimi nje nje.
 
Enyi vijana sikilizeni,

mnapokuwa masomoni,

acheni mchezo wa mapenzi,

mnawaumiza hisia wazazi wenu!

Nilivokuwa masomoni Sikuwahi fanya hivo nimeanza mapenzi nikiwa na kazi tayari mimi bana
 
Enyi vijana sikilizeni,

mnapokuwa masomoni,

acheni mchezo wa mapenzi,

mnawaumiza hisia wazazi wenu!

^^
Ha ha haaa ngoja niendelee kidogo..
Wazazi wanakusomesheni,
Kwa gharama kubwa saana,
Matokeo ni kufukuzwa shule,
Mapenzi na shule vyote vya poteea
^^
 
Nilivokuwa masomoni Sikuwahi fanya hivo nimeanza mapenzi nikiwa na kazi tayari mimi bana

kijana sasa tujue vipi,

huyo unaemharibia masomo yake yeye hana haki ya kumaliza masomo?

btw, kumaliza masomo ndo kiwango gani hicho?
 
  • Thanks
Reactions: amu
Hayo ndo matatizo ya kukamia mechiiiiii kudadekiii mate yalikua yanakutoka ulimi nje.. ukijua unakula mzigo.

Umekwambia yuko kweny blidi
Kwa uroho wako na ulafi wa papuchi ukaamua kuhakikisha....du!!!!

Mie simlaumu huyo demu, ni ww ambaye umeanza kumhoji kwann amekuja kwako akijua yuko kwenye blidi.

Yawezekana ulimuita bila makubaliano mtafanya nn.
Acha kumlaumu...ww ndo umemfanya akutamkie 071...
Kwa jins alivyokuona ulimi nje nje.

Haki ya mungu nilikuwa na siku nyingi Balaa! Bora ange niandaa basi kutoka kabla ya kuja akili ikazoea, sasa mi napiga jalamba kaniangalia tu hatua ya mwisho amvua kanguo kadogo ndo ananiambia Daah!
 
Duh ukaona umwachie na Gheto/Nyumba kutwa nzima.

Angalia asije akaacha pichu chini ya godoro ukaja kulia baadae.
 
Kukupa akupe yeye kukataa ukatae wewe ....majangaaaa mbona majangaaaaaaa mbona majangaaaaaa...

Mkuu hako kalikuwa kawimbo tu! Usithubutu kula "no cavity" hata kwa kushikiwa kisu!!
 
Huo ndo mchezo wake
Full time haina bl......
 
Haki ya mungu nilikuwa na siku nyingi Balaa! Bora ange niandaa basi kutoka kabla ya kuja akili ikazoea, sasa mi napiga jalamba kaniangalia tu hatua ya mwisho amvua kanguo kadogo ndo ananiambia Daah!

Sipati picha ugwadu wote ukakuisha Hahaaaaaaa, pole lakini tafuta mke uoe uzinzi sio mzuri.
 
makutana huko
mnaelewana nyie kwa mapenzi yenu
na kisa tu yuko kwenye hiyo hali unakuja kumtangaza hapa

mapenzi ya vijana bana
 
Habari Marafiki wa Jf poleni na majukumu ya kila siku,
Jana usiku bana mwenzenu nilipata kizungumkuti na Halimashauli yangu ya kichwa kuvurugika kabisa.
Ni baada ya kujituliza kwa muda kidogo baada ya kutokea kwa yaliyotekea kwa mpendwa wangu wa mwanzo. Hatimaye nimeangukia pua tena!
Iko hivi..... Miezi kama mitatu iliyopita nilikuwa nikimsotea binti mmoja mkali mno ukimuona kama we lijali lazima ushituke!
Tumeenda mpaka tukakubariana
kilichonifanya niandike hapa Jana jioni alini Promisi kwamba anakuja Home kwangu Nilimtumia nauli akaja kweli. Baada ya diner nikaanza mazoezi na mbwembwe kabla ya Mechi kuanza Nimepiga tizi kali vibaya mno nikiwa na furaha
Ajabu nikiwa kwenye harakati akaniambia yupo BLEED nilivocheki nikadhibisha kweli nikamuliza Kwanini umekuja ukiwa hivi na kwanini hujaniambia mi napiga jalamba uko kimya tu?
Akanijibu Hakihabiliki kitu kuwa huru kufanya lolote! Kauli hii ikanistua, Nikauliza tena Niwe huru kivipi na kufanya lolote lipi?
Akasema kama hautojali ntakupa mbadala akimanisha 071....! Nilichoka mzee akanywea nguvu zote zikaisha nikataka nimfukuze usiku ule ila basi nikona ngoja nilale tu!
Asubuhi nimeamka nikaenda kazini nimemuacha nyumbani bila hata sh. Kumi. Kazini leo sikuwa vizuri namwazia huyu ibilisi gani tena ananitafuta nini mimi jamani!
Narudi hom sasa Kutoka job nawaza nikampe tu nauli asepe Sijui kama ntakuwa nimekosea Nishaurini wana Jukwaa!

Duui we kweli shamukware pesa mbombo duuu ngoja niendelee kucheki movie steringi ukifika nyumbani
 
Back
Top Bottom