Mwanamke anayekuhonga

Mwanamke anayekuhonga

Je, mwanamke akikuhonga kitu anachokithamini sana ni kwamba;
1. Anakupenda?
2. Anakujali?
3. Anakuzuga tu?
4. Anaonyesha Kuwa matawi ya juu?
5. Anakudanganya ili wewe umuhonge zaidi?

Majibu yenu muhimu

Inategemea maana asiye na mapenz ya kwel sizan kama atapoteza pesa zake kukuonga wakat hakupend so hivyo hivyo hata kwa wanawake akikupenda kwa dhat anakuhudumia coz anajua utakuwa wife wa baade au husband wa baade so ni upendo tu na MTU kukupa kitu siyo kwamba we we huna uwezo wakununua ameoenda kukupa kama gift hill neno kuhongwa linaegemea upande wa mabitch
 
Kumpa mwanamme zawadi siyo shida inategemea unampa kwa ajili gani. Lakini kama ni upendo kwa upande wangu sioni shida.Na wanawake wasijione wao ni wakuhogwa tu nao watoe.
 
Kuna mmoja huyo anuza duka la vitu mbalimbali vya nyumbani basi kanizimikia anavyonionga balaa...
Mikate, bluebend.maziwa,sukari,mchele,unga n.k
sasa nna mpango wa kuanza kumkwepa maana amezidisha manjunju ya kunionga teh teh teh.... alaaaaah kupenda gani huku....:teeth:

Aisee.......sio kwa kupendwa huko.......
Hebu niagizie na mie nikahongwe......
 
Nafsi ya mtu huwezi hijua afikiriavyo ivyo yote ayo yaweza kua au sio,
 
mkipewa anahonga, mkinyimwa mchoyo mkiombwa hamtakokutoa lip jema tatizo mnawaza sana
 
Kwani kuna shida gani kupewa zawadi...
wasiwasi wako kama wewe sio mtu wa kutoa!!!
 
Sio kuhonga ni kukupa ulichompa. Mfano umenitumia laki 2, nimetoa 50 nikakununulia raba au tishet, sasa hapo ni kuhonga? Mm ndivo nafanya ukinipa300000 natoa 70 nakununulia hata night dress. Nipe nikupe!
 
Je, mwanamke akikuhonga kitu anachokithamini sana ni kwamba;
1. Anakupenda?
2. Anakujali?
3. Anakuzuga tu?
4. Anaonyesha Kuwa matawi ya juu?
5. Anakudanganya ili wewe umuhonge zaidi?

Majibu yenu muhimu
May be she is rich and your poor .Au wewe low maintenance nguo zako za pink ,suruali za njano viatu vyeupe mkanda mwekundu .Anakununulia ili uonekane unavaa vizuri .Labda hupaki deodorant anabidi akununulie.
 
Kusaidiana gani huko? Mtu anakupa Gari lake yeye anahamia Kwenye Bajaj???

jmn Humphnicky una uongo mwingi sana kwenye post zako.

Yaani mwanamke gani akupe gari yeye awe kwenye bajaji? labda atakuwa zuzu au jini anakuzuga uingie kingi ukaishi naye baharini.
 
Je, mwanamke akikuhonga kitu anachokithamini sana ni kwamba;

1. Anakupenda?

2. Anakujali?

3. Anakuzuga tu?

4. Anaonyesha kuwa matawi ya juu?

5. Anakudanganya ili wewe umuhonge zaidi?

Majibu yenu muhimu.

Maswali Yote Uliyouliza Hapo Juu Jibu Lake Ni Kwamba AMEKUONA WEWE PENGINE NI MWANAMKE MWENZIE Na IPO SIKU ATAKUSHAWISHI UITOE Na Hiyo NDUDE Yako Na Ufanye Transplanting Ya PAPUCHI Ili Muende Sawa. Take Care!
 
Hakuna cha bure kwenye hii Dunia, Anakuonga labda unamridhisha kitandani sasa kule kuongwa ndo malipo yako ili usimkimbie aendelee kupata rahaa unazo mpa, ujue na yeye kuna mtu analipia vitu flani kwakwe...so hamini kuongwa kwako ni malipo ya kitu fulani anachokipata toka kwako....QUID PRO QUO.
 
Je, mwanamke akikuhonga kitu anachokithamini sana ni kwamba;

1. Anakupenda?

2. Anakujali?

3. Anakuzuga tu?

4. Anaonyesha kuwa matawi ya juu?

5. Anakudanganya ili wewe umuhonge zaidi?

Majibu yenu muhimu.

None of the above. She's simply letting you know she's the man in that relationship.
 
Hayo ni ujinga ya kwenu tatizo vijana wengi wanapenda mteremko hawataki kufanya kazi ndiyo maana wengi wetu ni mashoga
 
je, mwanamke akikuhonga kitu anachokithamini sana ni kwamba;

1. Anakupenda?

2. Anakujali?

3. Anakuzuga tu?

4. Anaonyesha kuwa matawi ya juu?

5. Anakudanganya ili wewe umuhonge zaidi?

Majibu yenu muhimu.
chochote unachopenda amini kinawezekana rfk
 
Back
Top Bottom