danhosnoop
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 2,721
- 10,523
Mkuu Kajolijo pitia pitia comments za juu utapata mwanga flani hivi kuhusu g spot, lakini pia unaweza kuingia google kwa maelezo ya kina zaidiJobless bado umeniacha njia panda mkuu
Mkuu Kajolijo pitia pitia comments za juu utapata mwanga flani hivi kuhusu g spot, lakini pia unaweza kuingia google kwa maelezo ya kina zaidiJobless bado umeniacha njia panda mkuu
Nahesabu mkuuMkuu sio kweli kua wanawake bongo wakikojoa mara moja ndo basi, maumbile ni yale yale dunia nzima. inawezekana kabisa wewe huwa humuandalii mazingira ya kumpa multiple orgasms. Jaribu njia hii hapa chini kama unapata shida kuwapa wadada multiple orgasms.
*unaweza kuanza kwa kumpa clitoral orgasm, hii ni rahisi kabisa. Unachotakiwa kufanya ni kustimulate kisimi chake, kwa kusugua kwa kidole na kwa uhakika zaidi kwa kutumia ulimi. Ukifanya kwa uhakika atapata orgasm ya kwanza, na ukiendelea anaweza kupata nyingine zaidi na zaidi.
*orgasm nyingine unaweza kumpa kwa kustimulate g spot yake(kama unajua ilipo) kwa kidole tu. Hiyo ni sehemu sensitive sana na ukistimulate kwa uhakika lazima ata-come tu.
*baada ya hapo unaweza kumpa blended orgasm. Hii unastimulate kisimi chake (preferably kwa ulimi) huku unastimulate g spot. Hapo lazima ata-come tena. Mkuu unahesabu lakini?
*nyingine sasa unaweza kumpa kwa dushe. Ukiwa na sexual stamina ya kutosha na ukijua wapi pa kugusa lazima utampa orgasms nyingine kadri utakavyo. Hapo utakua umempa orgasms za kutosha, na usishangae akapata hata squirting orgasm katika hatua hizo.
NB: it works kwa wote, hakikisha tu unakua romantic katika mambo yako
umefika ngapi mkuu?Nahesabu mkuu
Shukrani mkuuMkuu Kajolijo pitia pitia comments za juu utapata mwanga flani hivi kuhusu g spot, lakini pia unaweza kuingia google kwa maelezo ya kina zaidi
Tuko pamoja mkuuShukrani mkuu
Nani anayeweza jamba hapo?
Ni kweli baadhi ya wanawake huwa hawako comfortable kwa mwanaume kuingiza kidole kule chini, na wengine hata kunyonywa papuchi pia. Hii hua inatokea sana kwa wapenzi ambao sio wa mda mrefu.Je atakubali utumie kidole? Kuna hii tabia ya watoto wa kike kukataa mwanaume asitumie kidole kwa kumchezea uko chini.
Hili ni tatizo kubwa sana,mwanamke anagoma kabisa usimguse na kidole yeye anataka dushe tu.
Hahahaa, zipo za kutosha mkuuUmepata pm ngapi mpaka sasa mkuu?.....I'm kidding
SawaAcheni u shetani, ulimi hauhusiki katika mapenzi!
DuhhhhInaandikwa g spot, kipindi cha vita ya pili ya dunia (siko sure hapa) Daktari wa wanawake anaitwa Grafenberg alisema amegundua kitu kwenye qumer ambacho alikua akikishika kinampatia mwanamke raha. Akakipa jina G spot, yaani Grafenberg spot.
Lakini ni kiungo kilainishi kina haja ya kukitumiaAcheni u shetani, ulimi hauhusiki katika mapenzi!
Kwa macho itakuwa siyo rahisi kuiona vizuri. Kama hiyo ni mpenzi wako zungumza kwanza naye juu ya uzuri na utamu wa kusugua g spot na mahali iliko ili utakapofikia hatua ya kuingiza kidole kuisugua wote muwe mnafurahia...cha msingi ipo na ukifanikiwa kuisugua kiustadi hakika yeye mwenyewe atajiona alipitwaga na jambo muhimu muwapo 6×6..utamtimulate vya lutosha mno...TUNAFANYAGA,!!Ngoja ni mtafute mdada ainioneshe niione kwa macho yangu