Hahhahhahahahaa!Hiyo evolution ni kiboko ....japo wanyama wanatofautiana aisee Thomson Gazzelle huwezi mfananisha na Nyumbu ....Nyumbu ni nyumbu tu ,hushangai kitoto kinazaliwa baada ya nusu saa anamshinda mama yake speed ??
poa poa mkuu.Mkuu nipo wangu mihangaiko ya hapa na pale
Mkuu fafanua please
Tena leo tu demu wangu kasema tuachane