Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,781
Sasa ifikie wakati tuendane na kauli ya usawa wa 50 kwa 50
Haiwezekani kila demu ninayemfuata namtongoza huku nikiambulia matusi makali kutoka kwake, halafu mwisho wa siku nibahatike kumchakata, nitachakata mara mbili tatu kisha tutaachana. Kwani nyie mnategemea nikaoe makaa ya mawe?
Just imagine unamsimamisha mwanamke kumweleza hisia zako anakujibu "Sina huo muda mchafu wa kuskiliza kampeni uchwara" Sasa unataka swaag zangu nikamrushie mbuzi?
Juzi kati nimetoka kumtongoza msichana mmoja mzuri saana, pic qal, halafu mpole, rangi ya mzeituni ambae akipita karibu na gheto langu akanikuta nje atatabasamu na kucheka cheka kwa aibu. Cha ajabu wakati namsimamisha kanitusi matusi ya nguoni kwa hasira kali, hivi anadhani nikimaliza sabuni madukani, yeye atafulia majivu?
Sasa narudia kusema, "Mwanamke aliyeumbwa kwa ubavu wangu baada ya mimi kupigwa nusu kaputi na sir God anirudishie ubavu wangu mara moja, nikauchemshe, niunywe supu ijulikane moja! Acheni tu nife na utamu wangu
Haiwezekani kila demu ninayemfuata namtongoza huku nikiambulia matusi makali kutoka kwake, halafu mwisho wa siku nibahatike kumchakata, nitachakata mara mbili tatu kisha tutaachana. Kwani nyie mnategemea nikaoe makaa ya mawe?
Just imagine unamsimamisha mwanamke kumweleza hisia zako anakujibu "Sina huo muda mchafu wa kuskiliza kampeni uchwara" Sasa unataka swaag zangu nikamrushie mbuzi?
Juzi kati nimetoka kumtongoza msichana mmoja mzuri saana, pic qal, halafu mpole, rangi ya mzeituni ambae akipita karibu na gheto langu akanikuta nje atatabasamu na kucheka cheka kwa aibu. Cha ajabu wakati namsimamisha kanitusi matusi ya nguoni kwa hasira kali, hivi anadhani nikimaliza sabuni madukani, yeye atafulia majivu?
Sasa narudia kusema, "Mwanamke aliyeumbwa kwa ubavu wangu baada ya mimi kupigwa nusu kaputi na sir God anirudishie ubavu wangu mara moja, nikauchemshe, niunywe supu ijulikane moja! Acheni tu nife na utamu wangu