Mwanamke akinikataa namchukia automatically

Mkuu kukataliwa sio tatizo kabisa mademu huwa wana mambo mengi nyuma ya pazia saa nyingine anaona ww hustaili kuwa nae sababu atakuumiza tuuu mwisho siku

Hawa viumbe wana huruma sana ukikataliwa kubali tuu
Kidogo naanza kuelewa maana huyo manzi alinikataa now anasomea udaktari huko rock city,nahisi ndo kilichompa kiburi
 
Tena nampiga risasi Mia za kichwa...
 
Mkuu umekwiva hizi mbinu mi sinaga mi introvert plus shyness masterbation imeshusha confidence yng Sana..Ila ngoja nitafute pesa tu
Sasa ukizikosa milele utakua humegi milele?

Kwani wewe hauna strong feature ambayo watu wa pembeni inawavutia? Mfano Sanchoka strong feature tako, Millard Ayo sauti, Profes Palamagamba ujuzi wa sheria n.k. wewe strong feature yako ni nini?

Hiyo hiyo acha ikubebe kipindi hichi bado unazisaka.
 
Mi ni mfupi Sana pia najua quotes nyingi
 
Sawa mkuu

Its not over until its over...[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…