Habari wakuu.
Sijajua changamoto iko wapi? Mwanamke akianza kulalamika kuhusu mahusiano baina yangu na yeye hapo ndipo unakuwa mwisho wake. Siwezi kuvumilia malalamiko wala aina yoyote ya makelele.
Sijajua lini nitabadilika wakuu.
Nashindwa kuwa kwenye seriously Relationship.