Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Sio wazungu tu; hata mimi wa Mchambawima sijaipenda kabisa ndio maana nikauliza amekosa kabisa demu "bora" wa Kiingereza hadi akaokote masanii ya kimarekani tena machotara?
we nani bana hata usipende? mtu hata bashite tu hakujui sembuse level za Mwanamfalme...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…