Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF.
Kila siku zinavyokwenda hali ni mbaya kwa gazeti letu pendwa la Mwanahalisi. Kutokana na udhaifu wa kiutendaji wa gazeti hilo sasa hivi limekuwa gazeti pekee linalobakia kwenye vibanda vya kuuzia magazeti.
Imefikia wakati gazeti la Mwanahalisi linauzwa kwa kilo maeneo ya kariakoo baada ya kukosa soko.
Makamanda jaribuni kulinunua kwa wingi kila Jumatano kuliokoa gazeti letu pendwa kulipa fadhila zaidi yapo tutalipoteza gazeti letu pendwa.
Kila siku zinavyokwenda hali ni mbaya kwa gazeti letu pendwa la Mwanahalisi. Kutokana na udhaifu wa kiutendaji wa gazeti hilo sasa hivi limekuwa gazeti pekee linalobakia kwenye vibanda vya kuuzia magazeti.
Imefikia wakati gazeti la Mwanahalisi linauzwa kwa kilo maeneo ya kariakoo baada ya kukosa soko.
Makamanda jaribuni kulinunua kwa wingi kila Jumatano kuliokoa gazeti letu pendwa kulipa fadhila zaidi yapo tutalipoteza gazeti letu pendwa.