P J O
JF-Expert Member
- May 3, 2024
- 241
- 316
Miaka tangu na tangu, binadamu tumekuwa tukitengeneza silaha kubwa zaidi, yenye kasi zaidi na Nia yake ni Moja tu. Maangamizi.
Sasa kufikia 1945 August 6 tuligundua silaha ambayo iliweka mpaka mwembamba sana na ni mpaka uliotufahamisha sasa tumefika mlangoni. Kifo kipo mlangoni na kama tusipoweka Kando tofauti zetu ulimwengu mzima upo ukingoni kuteketea na Nuclear.
Ukoloni uliondoka Kwa sababu ya Nuclear, Empires zilianguka Kwa sababu ya Nuclear. Athari zake ni kuua mji mzima kisibaki kiumbe hai hata kimoja Kwa miongo hivyo Binadamu tulirudu hatua Moja nyuma na kujiuliza, Kuna haja ya kupigana vita. Kuna haja ya kutumia mabavu kama akivyofanya mrumi.
Dunia ya Mungu, Mwangamizi Binadamu
Sasa kufikia 1945 August 6 tuligundua silaha ambayo iliweka mpaka mwembamba sana na ni mpaka uliotufahamisha sasa tumefika mlangoni. Kifo kipo mlangoni na kama tusipoweka Kando tofauti zetu ulimwengu mzima upo ukingoni kuteketea na Nuclear.
Ukoloni uliondoka Kwa sababu ya Nuclear, Empires zilianguka Kwa sababu ya Nuclear. Athari zake ni kuua mji mzima kisibaki kiumbe hai hata kimoja Kwa miongo hivyo Binadamu tulirudu hatua Moja nyuma na kujiuliza, Kuna haja ya kupigana vita. Kuna haja ya kutumia mabavu kama akivyofanya mrumi.
Dunia ya Mungu, Mwangamizi Binadamu