Soma biblia MWANZO sura ya KWANZA. Na si vinginevyo. Close thread.Kutokana na sperm/mbegu za uzazi
Qur'an 16:4
He has created man from a sperm-drop; and behold this same (man) becomes an open disputer!
Binadamu kaumbwa kwa udongo
Qur'an 15:26
We created man from sounding clay, from mud moulded into shape;
Kaumbwa kwa vumbi
Qur'an 3:59
The similitude of Jesus before Allah is as that of Adam; He created him from dust, then said to him: "Be". And he was.
Binadamu katoka kusikojulikana
Qur'an 19:67
But does not man call to mind that We created him before out of nothing?
Kutokana na damu iliyoganda
Qur'an 96:2
Created man, out of a (mere) clot of congealed blood:
Kutokana na maji
Qur'an 21:30
Soma biblia MWANZO sura ya KWANZA. Na si vinginevyo. Close thread.
Ni vizuri ukaisoma Qur-ani ikiwa kichwa chako hakija umizwa kabla...uumbaji ndaji ya Qur-ani umeelezea vizuri wala hauna mashaka...Pia si vyema ukaisoma Qur-ani ukiwa unatoka kwenye semina za kina Lukuvi....
Wacha nikupeni mtiririko mzima wa uumbaji wa Binadam...kitendo cha mtoa mada kuchota aya kule na huku hakikua na lengo la kuelimisha zaidi ya kupotosha...nawaomba muhudhurie darsa hapo chini..
23:12to top
Sahih International
And certainly did We create man from an extract of clay.
Swahili
Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.
23:13to top
Sahih International
Then We placed him as a sperm-drop in a firm lodging.
Swahili
Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.
23:14to top
Sahih International
Then We made the sperm-drop into a clinging clot, and We made the clot into a lump [of flesh], and We made [from] the lump, bones, and We covered the bones with flesh; then We developed him into another creation. So blessed is Allah , the best of creators.
Swahili
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.
23:15to top
Sahih International
Then indeed, after that you are to die.
Swahili
Kisha hakika nyinyi baada ya hayo mtakufa.
Nafikiri mtakua na akili za kutosha kuelewa somo la hapo juu bila ya ufafanuzi...
Ni vizuri ukaisoma Qur-ani ikiwa kichwa chako hakija umizwa kabla...uumbaji ndaji ya Qur-ani umeelezea vizuri wala hauna mashaka...Pia si vyema ukaisoma Qur-ani ukiwa unatoka kwenye semina za kina Lukuvi....
Wacha nikupeni mtiririko mzima wa uumbaji wa Binadam...kitendo cha mtoa mada kuchota aya kule na huku hakikua na lengo la kuelimisha zaidi ya kupotosha...nawaomba muhudhurie darsa hapo chini..
23:12to top
Sahih International
And certainly did We create man from an extract of clay.
Swahili
Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.
23:13to top
Sahih International
Then We placed him as a sperm-drop in a firm lodging.
Swahili
Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.
23:14to top
Sahih International
Then We made the sperm-drop into a clinging clot, and We made the clot into a lump [of flesh], and We made [from] the lump, bones, and We covered the bones with flesh; then We developed him into another creation. So blessed is Allah , the best of creators.
Swahili
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.
23:15to top
Sahih International
Then indeed, after that you are to die.
Swahili
Kisha hakika nyinyi baada ya hayo mtakufa.
Nafikiri mtakua na akili za kutosha kuelewa somo la hapo juu bila ya ufafanuzi...
Jamani naomba tumsaidie
binti aitwae Mwanaidi ameungua kwa ajali ya Moto hali yake si nzuri
anatakiwa kwenda India pesa hana.
Ni vizuri ukaisoma Qur-ani ikiwa kichwa chako hakija umizwa kabla...uumbaji ndaji ya Qur-ani umeelezea vizuri wala hauna mashaka...Pia si vyema ukaisoma Qur-ani ukiwa unatoka kwenye semina za kina Lukuvi....
Wacha nikupeni mtiririko mzima wa uumbaji wa Binadam...kitendo cha mtoa mada kuchota aya kule na huku hakikua na lengo la kuelimisha zaidi ya kupotosha...nawaomba muhudhurie darsa hapo chini..
23:12to top
Sahih International
And certainly did We create man from an extract of clay.
Swahili
Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.
23:13to top
Sahih International
Then We placed him as a sperm-drop in a firm lodging.
Swahili
Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.
23:14to top
Sahih International
Then We made the sperm-drop into a clinging clot, and We made the clot into a lump [of flesh], and We made [from] the lump, bones, and We covered the bones with flesh; then We developed him into another creation. So blessed is Allah , the best of creators.
Swahili
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.
23:15to top
Sahih International
Then indeed, after that you are to die.
Swahili
Kisha hakika nyinyi baada ya hayo mtakufa.
Nafikiri mtakua na akili za kutosha kuelewa somo la hapo juu bila ya ufafanuzi...