Mwanadada Zay B yupo wapi?

Zay B Wapi Kitu Yule Dada "acha Longolongo We Sema Una Sh Ngapi?"hapo Mixer Ngwear Sijui Na Mo X Alikuwepo
Jina Nimelisahau Aisee Nakumbuka Nlisomaga Alikuwa Marekani Katelekezwa Ana Mtoto
Aisee Yule Mwanamama Namkubali Jamani
Raha P
 
Zay B Wapi Kitu Yule Dada "acha Longolongo We Sema Una Sh Ngapi?"hapo Mixer Ngwear Sijui Na Mo X Alikuwepo
Jina Nimelisahau Aisee Nakumbuka Nlisomaga Alikuwa Marekani Katelekezwa Ana Mtoto
Aisee Yule Mwanamama Namkubali Jamani
Sasa huyo ndio teja kabisa. Kuna clips ziisambaa sana yupo ughaibuni anaomba msaada kwa Watanzania
 
Pia kulikuwa na mwanadada mwingine anaitwa Da Joh
Dada Dah Jo tumekukubaliii... Na badooo nadhani hakuna swali...

Kusema kweli mistari yao haikua mikali saana ila kwakua wasanii wa kike wanaochana walikua wachache ndio maana tunawakumbuka hadi sasa
 
Zay B Wapi Kitu Yule Dada "acha Longolongo We Sema Una Sh Ngapi?"hapo Mixer Ngwear Sijui Na Mo X Alikuwepo
Jina Nimelisahau Aisee Nakumbuka Nlisomaga Alikuwa Marekani Katelekezwa Ana Mtoto
Aisee Yule Mwanamama Namkubali Jamani
Hivi Rah P (kama Mtutsi ama msomali flani hivi) huyu hapa chini kuna makala yake na wimbo wake wa pia
 
week kama mbili zilizopita nilimsikia sister P akihojiwa est africa nae anarudi akwenye game sijui huyu adui yake zey B nae atakuja tena kwenye games kama mwenzie
Duuuh imekuwa muda aisee nadhani ashakuwa mama kabisa huyu......daah those days bana!!
 
Mashairi yamejaa kisado sasa mtu alisema mashaili yamejaa kisado angeweza kutomboa mpaka leo kweli
Hilo ndio Tatizo angesema Mashairi Yamejaa PIPA au SIMTANK mpaka sasa angekuwepo kwenye fani maana yangekuwa yamebaki hata nusu lakini kwenye KISADO akitoa nyimbo tatu yanaisha.
Duuh nyie watu mna mambo aisee...kumbe inatakiwa uweke malengo ya kujenga ghorofa na hata ikitokea umefeli unajenga nyumba ya kawaida...(nimecheka sana wazee)
 
Zay B Wapi Kitu Yule Dada "acha Longolongo We Sema Una Sh Ngapi?"hapo Mixer Ngwear Sijui Na Mo X Alikuwepo
Jina Nimelisahau Aisee Nakumbuka Nlisomaga Alikuwa Marekani Katelekezwa Ana Mtoto
Aisee Yule Mwanamama Namkubali Jamani
Dah aisee yule mtoto alikuwa hot balaa!!! Mkuundugu yangu nipe mawasiliano yake tafadhali
Nb;hata wewe inaonekana muhenga dizaini flani iv
 
Duuh nyie watu mna mambo aisee...kumbe inatakiwa uweke malengo ya kujenga ghorofa na hata ikitokea umefeli unajenga nyumba ya kawaida...(nimecheka sana wazee)
We umesahau enzi zile skuli unaweka malengo upate banda,majibu yakitoka una karai lako!! Sasa wewe weka malengo karai majibu yakija una mswaki!
 
Zay B Wapi Kitu Yule Dada "acha Longolongo We Sema Una Sh Ngapi?"hapo Mixer Ngwear Sijui Na Mo X Alikuwepo
Jina Nimelisahau Aisee Nakumbuka Nlisomaga Alikuwa Marekani Katelekezwa Ana Mtoto
Aisee Yule Mwanamama Namkubali Jamani
Rah P huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…