GE2025 Mwanachuo Salvatory Mwakamele ametia nia Udiwani Kata ya Segerea

GE2025 Mwanachuo Salvatory Mwakamele ametia nia Udiwani Kata ya Segerea

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mwanachuo Salvatory Mwakamele ametia nia Udiwani Kata ya Segerea. Mwakamele alishawahi kuwa kiongozi wa Tawi la UVCCM - Chuo Cha Tumaini Dar es Salaam, Mkurugenzi mkazi wa AUSP ( African University student Platform) - TANZANIA.

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Katibu wa UVCCM Tawi la Migombani - Segerea mapemaa leo amechukua fomu kuwania udiwani- Segerea.
Screenshot 2025-07-01 231227.png
 
Back
Top Bottom