Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
Mwanachuo anaesomea UZAMILI ktk chuo kikuu cha Dare sa laam kwenye kitivo cha utawala amepoteza maisha baada ya kunywa sumu kutokana na kufanya vibaya kwa matokeo yake ya semister ya kwanza.
siyo udsm bhana ni mzumbe na alikuwa anasoma mastez ya uchumi,,anaitwa peter kinyasi
Watu wanajua kupotosha habari jamani, Mimi mwenyewe nimeshangaa, ni mzumbe ya morogoro, jamaa alipata disco semester ya kwanza , alikuwa anachukua masters ya finance
siyo finance ni economics,,mm namjua huyu mtu kama brother angu,,mm ndiye niliyempeleka fomu za kuomba masterz,,alikuwa ni mkuu wa idara ya mipango katika halmashauri ya kondoa,,na kazikwa kwao jana njombe
Mwanachuo anaesomea UZAMILI ktk chuo kikuu cha Dare sa laam kwenye kitivo cha utawala amepoteza maisha baada ya kunywa sumu kutokana na kufanya vibaya kwa matokeo yake ya semister ya kwanza.
siyo finance ni economics,,mm namjua huyu mtu kama brother angu,,mm ndiye niliyempeleka fomu za kuomba masterz,,alikuwa ni mkuu wa idara ya mipango katika halmashauri ya kondoa,,na kazikwa kwao jana njombe
Kwa hiyo wewe inabidi ulaumiwe na familia kwa kusababisha kifo cha ndugu yao. Uenda usingempelekea hizo fomu hasingeomba kujiunga na masomo ya masters na hivyo asingejiunga na chuo na tena asinge disco. Unajisikia amani kweli moyoni?
Tiba
Ninavyosema brother siyo ndugu,,ni mtu mzima ambaye nina muheshimu kama brother,,na hizo fomu alipa mwenyewe nimpelekee maana muda huo mm nilikuwa nasoma masterz pia mzumbe,,sina amani moyoni coz ni mtu ambaye alikuwa ananisaidia matatizo madogo kama wiki 2 zilizopita wakati wapo kwenye paper nilifikia kwenye rum lake pale mzumbe,,
Pole sana ndugu yangu. Kwa kawaida kikitokea kifo anakuwepo mtu wa kumnyooshea kidole lakini tunasahau kwamba kifo kipo tu hata ufanyeje, iko siku huyo mtu angekufa hata kama sio kwa sababu ya kudisco.
Tiba
Ninavyosema brother siyo ndugu,,ni mtu mzima ambaye nina muheshimu kama brother,,na hizo fomu alipa mwenyewe nimpelekee maana muda huo mm nilikuwa nasoma masterz pia mzumbe,,sina amani moyoni coz ni mtu ambaye alikuwa ananisaidia matatizo madogo kama wiki 2 zilizopita wakati wapo kwenye paper nilifikia kwenye rum lake pale mzumbe,,
Watu wanajua kupotosha habari jamani, Mimi mwenyewe nimeshangaa, ni mzumbe ya morogoro, jamaa alipata disco semester ya kwanza , alikuwa anachukua masters ya finance
Kwa hiyo wewe inabidi ulaumiwe na familia kwa kusababisha kifo cha ndugu yao. Uenda usingempelekea hizo fomu hasingeomba kujiunga na masomo ya masters na hivyo asingejiunga na chuo na tena asinge disco. Unajisikia amani kweli moyoni?
Tiba
Disco?!, semester one??!!,tena masters??!! Closer to impossible.