Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 417
Ndugu zangu wana JF, Hususani wanamziki na wakazi wa MWANZA . mtajwa hapo juu ni mugonjwa sana kwani hawezi hata kutembea, kwa. kwa wasio mfahamu anaitwa SAMSON WILISON alisomea shule ya msingi Nyamanoro na kuhitimu mwaka 1994, akajiunga ktk mziki enzi za kina JONTWA JOKER,kwa atakae guswa anaweza kufika kwao kumjuria bari. kwao ni mtaa wa MSUMBIJI KAWEKAMO PASIANSI MWANZA.stend ya NYASAKA MZUNGUKO. uliza kwa mzee WILISON.