EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
Asante mkuu... Nimekuelewa sanamzee hapo futa kila kitu..kaa na mkeo mwambie hayo yalipita ulishabadilika msameheane..amani irudi..af mwambie simu ni privacy ya mtu..kila mtu ashike simu yake..hayo tu!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]Ukitaka amani na mkeo fanya moja kati ya haya
1. Oga na Mkeo
2. Oga na Simu yako
3. Hakikisha Simu yako haikutani na Mkeo
Ulilimaliza vipi kiongozidaah hili jambo lishawah nikuta nilipata tabu kweli mnamo 2015 septer 25..
Ooooh saw sawKuna sehemu ukweli unaweza kukuweka huru, sababu umesem ni mambo ya zamani inakubidi umwambie ukweli huo na itachukua muda kukuelewa ila ukifanya tofauti na hichi mkuu utajilaumu sana. Hii hali ishanikuta tena wangu aliingia sehemu ambayo inatunza picha tu na zilikuwepo mpka za miaka 10 nyuma yaan ilikua utata lkn niliamua tu kua mkweli wa hizo picha na akanielewa ingawa ilichukua muda kidogo kurudi ktk hali zetu.
Kwakweli kwa aliyoyaona ni makubwa. Sijaeleza yote. Kuna uwezekano mkubwa wa ndoa kufa ama kulipizakwa alichokiona hata kama yataisha tegemea atalipa kisasi iwe utajua au hautajua, piakama we mzembe wa kufuta data jitaidi kuweka pattern kila kona.
ndoa haiwezi kufa, atapitia wakat mgum ajili ya wivu maana hata wewe japo una madudu hayo bado ungeona yake nawe ungejisikia vibaya as if yako huyaoni.Kwakweli kwa aliyoyaona ni makubwa. Sijaeleza yote. Kuna uwezekano mkubwa wa ndoa kufa ama kulipiza
Da nikwelindoa haiwezi kufa, atapitia wakat mgum ajili ya wivu maana hata wewe japo una madudu hayo bado ungeona yake nawe ungejisikia vibaya as if yako huyaoni.
katika zama hizi ke & me wanaotumia social network wote wanamahusiano yasio rasmi mitandaoni bt unapofuma ya mwenza lazima utaumia bt nayeye anayo yake.
Kanuni kuu ya maisha "tenda kwa wengine upendavyo kutendewa "
Vipi akikausha, kesho usikie kampa utamuu house boy hadi gate keeper, wanao wote kawalisha tamu yake, ikiwa waweza potezea naww kwa hali kama hiyo basi mwambie -- -aamue lolote wewe kwako ni fair game
-Tengeneza mazingira ya suluhu na ku jirudia kwa uliyo tenda
Nyie ni mwili mmoja, ukaguzi ni haki yake cause ya protection ya mahusiano
Chief kuna amani ya roho pale nyumbani na wanafamilia mnapokuwa na amani, yaani ukiwa wa maliza majukumu waona ile appetite ya kurudi na kukaa na Familia yako, it aches ukiwa wa kosa hii opportunity, especially kwa mwanamke mlalamishi na mkorofi.
Mkuu umesema ni madudu ya long time sana sasa kwanini hukuyafuta ilhali unajua fika tabia ya mkeo.
Mkuu chepuka kwa tahadhari acha kuzubaa na uzembe.
Muelekeze basi sio unamuacha anatafuta majibu GoogleNimejisahau bwana. Afu kibaya zaidi hao wanawake sinao hata mmoja wala sijawahi kufanikiwa kuwapata.
Nakiri kosa la uzembe