George Bush
Member
- Sep 8, 2024
- 58
- 42
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya na Mfanyabiashara wa Kimataifa Ndugu Patrick MWALUNENGE ana uwezekano mkubwa wa kushinda kupeperusha bemdera ya Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Mbeya mjini baada ya kuchukua RASMI fomu ya kuomba ridhaa ya kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya!
Tangu awe Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mbeya kumekuwa na ongezeko la kukubarika kwa Chama cha Mapinduzi Mkoani Mbeya pamoja na utulivu wa kisiasa katika Jimbo la Kyela!
MWALUNENGE anatajwa kuwa na misimamo mikali katika mambo ya MSINGI katika hasa kusimamia Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2020/2025!
Anatajwa kama mtu mthubutu mbunifu na mwenye Weledi mkubwa katika kila jambo ambalo amekuwa akilifanya!
Ni wazi kuwa Mh Patrick MWALUNENGE ATAKUWA Mbunge Mteule wa Jimbo la Mbeya Mjini Octoba 2025!
Hakika Mbeya mjini imepata "chuma" kingine,sioni wa kumzuia Patrick!
George Michael Uledi (0746726484)
Tangu awe Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mbeya kumekuwa na ongezeko la kukubarika kwa Chama cha Mapinduzi Mkoani Mbeya pamoja na utulivu wa kisiasa katika Jimbo la Kyela!
MWALUNENGE anatajwa kuwa na misimamo mikali katika mambo ya MSINGI katika hasa kusimamia Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2020/2025!
Anatajwa kama mtu mthubutu mbunifu na mwenye Weledi mkubwa katika kila jambo ambalo amekuwa akilifanya!
Ni wazi kuwa Mh Patrick MWALUNENGE ATAKUWA Mbunge Mteule wa Jimbo la Mbeya Mjini Octoba 2025!
Hakika Mbeya mjini imepata "chuma" kingine,sioni wa kumzuia Patrick!
George Michael Uledi (0746726484)