Mwalimu wa shule ya awali anahitajika haraka

Mwalimu wa shule ya awali anahitajika haraka

Kakoo

Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
16
Reaction score
0
  • awe na cheti cha ualimu wa awali (early childhood education)
  • aweze kuzungumza kiingereza kwa ufasaha
  • awe na uzoefu usiopungua mwaka mmoja
  • awe raia wa Tanzania
  • awe mchapakazi, anayejituma na aliye tayari kuelekezwa
  • kwa maelezo zaidi piga 0778350664
  • shule ipo Dar-es-salaam
 
Herry, wewe kama una form four "ya ufaulu" kwa nini hukuendelea na shule?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom