Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,508
- 13,976
Habari zenu?
Nimeombwa niweke tangazo hili:
Mwalimu wa shule ya awali/chekechea anatafuta kazi ya kufundisha watoto wadogo.
SIFA ZAKE:
Ana elimu ya kidato cha nne na amepitia mafunzo ya kufundisha watoto wadogo kwa ngazi ya Cheti,na ana uzoefu wa miaka minne.
Ana umri wa miaka 29,ameolewa na ana watoto.
Ni mchapakazi mzuri na mtu anayependa kazi yake ya kufundisha watoto kuanzia miaka mitatu na kuendelea.
Anapatikana Tanga mjini kwa sasa.
Kama una nafasi ya kazi au unajua wapi anaweza kupata nafasi ya kazi niPM ili nikuunganishe naye.
Asanteni wote.
Nimeombwa niweke tangazo hili:
Mwalimu wa shule ya awali/chekechea anatafuta kazi ya kufundisha watoto wadogo.
SIFA ZAKE:
Ana elimu ya kidato cha nne na amepitia mafunzo ya kufundisha watoto wadogo kwa ngazi ya Cheti,na ana uzoefu wa miaka minne.
Ana umri wa miaka 29,ameolewa na ana watoto.
Ni mchapakazi mzuri na mtu anayependa kazi yake ya kufundisha watoto kuanzia miaka mitatu na kuendelea.
Anapatikana Tanga mjini kwa sasa.
Kama una nafasi ya kazi au unajua wapi anaweza kupata nafasi ya kazi niPM ili nikuunganishe naye.
Asanteni wote.