SINGLE RASHID
Member
- Nov 8, 2012
- 71
- 15
Mimi ni mwalimu wa masomo ya science (BSc Education chem and biology) mwenye uzoefu wa miaka mitano...Natafuta kazi kwenye shule ya Private yenye kulipa vizuri...............! please ni PM kwa mawasiliano zaidi kwa yoyote mwenye kuweza kunisaidia