Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,587
- 9,324
Huyo ilikuwa awe Mwalim wa Sunday School kakosea njia, aadhibiwe Kiislaam.
Sunday school ya msikiti unaoabudu!
Huyo ilikuwa awe Mwalim wa Sunday School kakosea njia, aadhibiwe Kiislaam.
Abdulhalim bin Njelenje bin Juma bin Zaccharia bin Mwalimu is not a kichwa bwashee. Nakubali kwamba jamii yetu bado ina u-savage wa kifikra unaotokana na hizi imani za kikoloni. With time, savagery will disappear bcoz relevance ya hizi dini nayo ita-undergo natural death. Lets hope jamii yetu izidi kuelekea usomi na ku-embrace maendeleo ya kisayansi na kuwa na fikra mpya na sahihi zaidi.
HAwa MOd wakiona kitu cha dini hii wanakiacha watu watukane , ingekuwa ya Padre hapa ungeona mara moja imefungwa ! SIONI AJABU ! mbona wakuu wa dini zenu WAMEHALALISHA NDOA YA JINSIA MOJA NA INAFUNGWA KANISANI ! napoabudiwea Mungu baba na mwana na rho mtakatifu ! ajabu ipo wapi?
Ni kweli, ila kuna kauli zinakera sana! watu badala ya kuchangua in human rights wao wanaanza kashfa! hatuwezi KUNYAMA KAMWE ! ... hakuna anaependa haya yatokee na hasa ukifikiria na wewe una watoto, VITENDO HIVI VINALAANIWA NA HATA KWENYE MISAHAFU YETU AL -QURAAN VIMEKATAZWA\A WAZI WAZI, na Mtume wetu ameenda mbali ya hayo madevu kufugwa ili mwanaume asifanane na mwanamke ambayo itampelekea mwanaume mwengine kumtamani mwanaume ! lakini watu wamekalia chuki na kikashif uislamu na Mods wanaangalia tu ! HUYU AFUNGWE NA ASIUDI KATIKA JAMII... MIMI KAMA MUU'MIN WA KIISLAMU NAPINGA VIKALI na ningependa nione mtu huyu ANANYONGWA !
Huyo ilikuwa awe Mwalim wa Sunday School kakosea njia, aadhibiwe Kiislaam.
Huyo ilikuwa awe Mwalim wa Sunday School kakosea njia, aadhibiwe Kiislaam.