pingu mkoka
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 434
- 112
Mwalimu mmoja wa madrasa huko mbagala amemuua mwanafunz wake kwa kumchinja kama kuku.mwalim hy ambaye anafahamika kama ostadh,inadaiwa lengo lake kutaka kumlawiti lilishindika ndipo alipo amua kuchukua kisu na kumchinja kwa kumtenganisha kichwa na kiwili wili na yeye mwenyewe kuuwawa na wananchi wenye hasira kali.
Mungu ibarik TZ.
Souce wapo radio
Mungu ibarik TZ.
Souce wapo radio