geee kay
Senior Member
- Mar 21, 2015
- 112
- 63
Ndugu wana JF nimerudi tena kuomba msaada wenu, wa kunisaidia shule ya kufundisha kwa masomo ya Geography na Kiswahili. Nina shahada ya ualimu(Baed) kutoka chuo kikuu UDSM
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app