Mwalimu wa Geography na kiswahili.

Mwalimu wa Geography na kiswahili.

ELIUD ELIEZA

New Member
Joined
Jul 28, 2017
Posts
2
Reaction score
0
Nina elimu ya shahada katika ngazi ya ualimu na uzoefu wa kufundisha katika shule za private kwa miaka 3. Hivyo kama una uhitaji wa mwalimu wa aina hiyo nitafute kupitia namba hii. 0764068964.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dogo Achana na ualimu
Tafuta mbishe zingine upige hela eg kilimo cha matikiti
 
Back
Top Bottom