Sitachoka JF-Expert Member Nov 17, 2011 3,030 1,303 Jun 13, 2013 #1 Heshima mbele wakuu, Nina kijana wangu anatafuta ajira ni mwalimu wa Chemistry kwa anaehitaji au alie na upungufu huo tafadhari aniPM kwa mawasiliano zaidi
Heshima mbele wakuu, Nina kijana wangu anatafuta ajira ni mwalimu wa Chemistry kwa anaehitaji au alie na upungufu huo tafadhari aniPM kwa mawasiliano zaidi
SN.BARRY JF-Expert Member Oct 12, 2012 4,040 8,896 Jun 15, 2013 #2 ana elimu gani? shahada au stashahada? kazi ipo!
Sitachoka JF-Expert Member Nov 17, 2011 3,030 1,303 Jun 15, 2013 Thread starter #3 SN.BARRY said: ana elimu gani? shahada au stashahada? kazi ipo! Click to expand... Ana shahada!
SN.BARRY JF-Expert Member Oct 12, 2012 4,040 8,896 Jun 15, 2013 #4 naamini hata biology unaweza kufundisha(o-level), call 0654189521
W Wamtaa huu Senior Member Jan 21, 2011 168 55 Jun 15, 2013 #5 Kama una uzoefu wa at least miaka miwili na una either Bsc ed au Bed sc na unajiamini unaweza na unatafuta kazi ili uendelee huku ukiendeleza nipm.Only if you are seriuos!
Kama una uzoefu wa at least miaka miwili na una either Bsc ed au Bed sc na unajiamini unaweza na unatafuta kazi ili uendelee huku ukiendeleza nipm.Only if you are seriuos!