Mwalimu Nyerere Foundation toeni Tamko kwa hali Nchini

Bowie

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
4,373
6,084
Mwalimu Nyerere foundation ni taasisi muhimu hapa nchini, ushauri wa taasisi hiyo ni muhimu kwa mustakabali wa nchi hii. Mzee Warioba, Mzee Butiku na Dkt Salim ni watu mliofanya kazi karibu na hayati mwalimu Nyerere kauli zenu zitachukuliwa kuwa ni ujumbe kutoka kwa muasisi wa taifa hili.
Naomba msikae kimya mtoe tamko kwa hali ilivyo nchini kabla mambo hayajaribika kabisa taifa linapoelekea siyo Tanzania Mwalimu aliyoiacha kama taifa inayoheshimu misingi ya utawala wa kisheria na haki ya binadamu.
 
Naona hawaamini kabisa!! Wanatafuta majukwaa Waongee!! Mzee Warioba nae kimya! Butiku wakati JK alikuwa front kukosoa na kukemea sasa kimya!!! Hawamshauri huyu Sizonje?
Mwalimu Nyerere foundation ni taasisi muhimu hapa nchini, ushauri wa taasisi hiyo ni muhimu kwa mustakabali wa nchi hii. Mzee Warioba, Mzee Butiku na Dkt Salim ni watu mliofanya kazi karibu na hayati mwalimu Nyerere kauli zenu zitachukuliwa kuwa ni ujumbe kutoka kwa muasisi wa taifa hili.
Naomba msikae kimya mtoe tamko kwa hali ilivyo nchini kabla mambo hayajaribika kabisa taifa linapoelekea siyo Tanzania Mwalimu aliyoiacha kama taifa inayoheshimu misingi ya utawala wa kisheria na haki ya binadamu.
 
Hio taasisi hawajipendi nini kofi alilopigwa mzee walioba kipindi cha mchakato wa katiba mpya halijapoa halafu unataka apigwe tena. mzee tulia wenye nchi wapo hasa vijana ndo wenye taifa la sasa sie tuko saa 12.30
 
Jah kaaya hakuwa wa maeneo ya Kanda ya ziwa alafu alikuwa muungwana akaruhusu kukosolewa...saivi ukikosoa au kutaka kukosoa wanakuRoma!! Hakuna anayetaka kuromatika tutakosoa kwa kujificha
 
Back
Top Bottom