inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,966
- 18,268
asilimia kubwa!!..maana yake kuna asilimia ndogo ilitoka kwetu..ndogo kiasi gani!?Asilimia kubwa ya ya budget ya harakati hizo haikutoka katika mapato ya nchini kwetu, nchi nyingi sana duniani zilikua zinachangia fedha, silaha na mafunzo kwa wapigania uhuru. Kikubwa alichofanya ni kukubali ardhi ya Tanzania kutumika kwa harakati hizo
Mkuu Tanzania haijawahi kua na kiwango kikubwa cha literacy kama ilivokua wakati wa Mwalimu na ndio ilikua inaongoza Afrika(87%), ikifuatiwa na Sudan, na wakati huo huduma za afya zilikua bure kabisa kuanzia kumuona daktari, vipimo, dawa na hata huduma za chakula kwa watu waliokua wanalazwa katika hospitali za ummaunaongea nini wewe..nchi kukosa mahitaji muhimu sio kumshinda!?..kiwango kidogo cha literacy sio kushindwa?..huduma mbovu za afya sio kushindwa?
Kiwango cha elimu (literacy)kwa mazingira ya wakati ule unakijua? Kilikuwa juu kuliko wakati wowote wa viongozi waliofuata.unaongea nini wewe..nchi kukosa mahitaji muhimu sio kumshinda!?..kiwango kidogo cha literacy sio kushindwa?..huduma mbovu za afya sio kushindwa?
Nakubaliana na wewe matatizo meengi ya nchi hii yalianza wakati na baada ya vita ya Kagera.....je kulikua na uhalali wa vita ile au option nyingine zaidi ya kupigana vita ile hilo ni suala la mjadala, lakini kama kulikua hakuna option zaidi ya kupigana vita inabidi rasilimali zote za nchi zielekezwe huko1985 viwanda vilikua vinakata roho baada ya kuzalisha kwa ajili ya vita
Naunga mkono Hoja MkuuAngefuata Tu Ubepari Toka Awali Watanzania Wangekuwa Wamepanuka Kifikra Kwa Mbali Sana Wewe Angalia Ujamaa Ulidumaza Watanzania Mpaka Leo Hii Wanajitahidi Kujinasua
Naunga mkono Hoja Mkuu
Kitu kilichokua kinamtia kichefuchefu Mzee na kama ukidadisi ndio kilikua moja ya misukumo yake mikuu ya kufanya maamuzi ni ile hali umatabaka,Mzee alikua ana kisirani cha hali juu sana na matabaka...hivyo alipoona dalili za utabaka kwenye ubepari....mzee aliudemonise ubepari moja kwa moja, yaani alichukia matabaka kiasi kwamba alkua anaovereact mpaka akaadapt this broken philosophy ya ujamaa Lengo likiwa ni kutokomeza matabaka hasaa ya kiuchumi (sio matabaka ya kisiasa kwa hili mzee hakufanya kazi nzuri kabisa kwa kweli.)
Nadhani kama suala la umatabaka(which is a ligitimate concern) ndani ya ubepari lilikua kero kubwa kwake angeweza kushughulika naIo bila kuudemonize ubepari.
Na njia mojawapo ya kudeal na matabaka ktk ubepari ni heavy investment in teaching the society Moral Values.
In any society if the rich are also Moral People that society will be a blessed society.
Moral people are not oppressive, they will always look after the interest of the poor and weak....
Sidhani kama ni sahihi kuweka assumption kwamba watu wote tutakua sawa kimaarifa na kijuhudi...muchless kulazimisha mambo yawe hivyo which is what Socialism does....it is working against the laws of nature...swimming upstream it really doesn't work in a Longrun
Tungetakiwa tuu kua na mtizamo sahihi wa ubepari, tungeuendesha ubepari kikwetu tungekua mbali sana Leo. Eg. Ubepari wa Ulaya na Marekani ni version mbili tafauti za ubepari....(Last statement is a personal assesment)
Mwalimu aliijua vema jamii yake(in and out). Kuna conspiracy theories kumhusu zinasema alizuia systematically baadhi ya makabila kushika nafasi za juu za uongozi wa nchi(sina hakika lakini)Hivi ni kwa nini enzi za mwalimu wanajeshi na polisi wengi walitoka mkoa wa Mara????
Binafsi naona kua mifumo yote miwili ina mapungufu makubwa na kila mfumo una ukatili wake pia....Lakini Nanadhani Mfumo wa soko huria (kibepari)...kwanza unasynchronize na principles of nature implying that human race is diverse in so many ways including thought and action we can never be the same...lakini pia ukatili wa ubepari ni nafuu kuliko ujamaa....uchumi wa kijamaa unalazimisha some serious power imbalances which ends up creating political classes,....rulling and the ruled...this is not good at all especially when the rulling class wanapokua currupted na wakalewa madaraka....hii ni Mbaya sana, A small group of people will have both Political and economic Power.h
Hizi ulizozungumzia ni failures za Ujamaa kama mfumo in general ambazo kwa kiasi kikubwa ulianguka kutoka na mapambano yake na mifumo ya kibepari na kibeberu ambayo bado naiona ni katili sana kwa binadamu. Mwalimu kama angesema asimamie na asikilizwe kusimamia transition ya kuingia soko huria angefanya hivo huku akihakikisaha havunji miiko na maadili ya uongozi na tunu nyingine za taifa. Waliomfuatia walimuangusha ndio tunaona ukuaji wa kuogopesha sana wa matabaka
kwenye sekta ya elimu Tanzania iliwahi kuongoza kwenye elimu ya watu wazima..tofautisha literacy na kujua kusoma na kuandikaMkuu Tanzania haijawahi kua na kiwango kikubwa cha literacy kama ilivokua wakati wa Mwalimu na ndio ilikua inaongoza Afrika(87%), ikifuatiwa na Sudan, na wakati huo huduma za afya zilikua bure kabisa kuanzia kumuona daktari, vipimo, dawa na hata huduma za chakula kwa watu waliokua wanalazwa katika hospitali za umma
kwamba watu walikua na access ya elimu kipindi kile kuliko sasa?!!.,wakati ilikua ukifaulu wilaya zote za mkoa zilikujuaKiwango cha elimu (literacy)kwa mazingira ya wakati ule unakijua? Kilikuwa juu kuliko wakati wowote wa viongozi waliofuata.
ndomana mnakua masikini..usiuache moyo ukuongoze..pesa inahitaji hesabuNakubaliana na wewe matatizo meengi ya nchi hii yalianza wakati na baada ya vita ya Kagera.....je kulikua na uhalali wa vita ile au option nyingine zaidi ya kupigana vita ile hilo ni suala la mjadala, lakini kama kulikua hakuna option zaidi ya kupigana vita inabidi rasilimali zote za nchi zielekezwe huko
hapana..angalia umri wa mwalimu wakati anaukumbatia ujamaa..ulikua ni umri ambao emotions bdo zinamuendesha MTU..matabaka sawa ila ndo mpaka kupenda suti wa wajamaa!!..all in all mwalimu hakushughulishwa sana na kuendesha nchi kwa faida..hata kwenye ujamaa wake alifundisha MTU kulipwa kadiri ya azalishavyo..hapo huwezi sema hakupenda matabaka kwa kuwa kuna wavivu na wachapakaziNaunga mkono Hoja Mkuu
Kitu kilichokua kinamtia kichefuchefu Mzee na kama ukidadisi ndio kilikua moja ya misukumo yake mikuu ya kufanya maamuzi ni ile hali umatabaka,Mzee alikua ana kisirani cha hali juu sana na matabaka...hivyo alipoona dalili za utabaka kwenye ubepari....mzee aliudemonise ubepari moja kwa moja, yaani alichukia matabaka kiasi kwamba alkua anaovereact mpaka akaadapt this broken philosophy ya ujamaa Lengo likiwa ni kutokomeza matabaka hasaa ya kiuchumi (sio matabaka ya kisiasa kwa hili mzee hakufanya kazi nzuri kabisa kwa kweli.)
Nadhani kama suala la umatabaka(which is a ligitimate concern) ndani ya ubepari lilikua kero kubwa kwake angeweza kushughulika naIo bila kuudemonize ubepari.
Na njia mojawapo ya kudeal na matabaka ktk ubepari ni heavy investment in teaching the society Moral Values.
In any society if the rich are also Moral People that society will be a blessed society.
Moral people are not oppressive, they will always look after the interest of the poor and weak....
Sidhani kama ni sahihi kuweka assumption kwamba watu wote tutakua sawa kimaarifa na kijuhudi...muchless kulazimisha mambo yawe hivyo which is what Socialism does....it is working against the laws of nature...swimming upstream it really doesn't work in a Longrun
Tungetakiwa tuu kua na mtizamo sahihi wa ubepari, tungeuendesha ubepari kikwetu tungekua mbali sana Leo. Eg. Ubepari wa Ulaya na Marekani ni version mbili tafauti za ubepari....(Last statement is a personal assesment)