mwalimu naomba ushauri

Escoba

Member
Joined
Jan 10, 2013
Posts
75
Reaction score
18
Kuna mwalimu nafundisha nae wa kiume anaitwa ( ) tunafundisha shule ya msingi ( ) ipo Tarime , Mara. Alinitongoza nkamkataa, juzi boyfriend angu alipiga simu yeye akapokea , simu ilikua kwa chaji kwa mwalimu mwenzangu, akaanza kujibizana na boyfriend angu akamwambia eti yeye ( ) ndo ananichukua kwa sasa. Alichkua pia namba ya boyfriend angu akawa anampigia simu na anatuma text kwake kwamba mi nam cheat. Sasa hv nipo dar na boyfriend angu ananitumia msg et kwann cpokea simu ake pia katuma text kwa bf angu anamwambia niwashe simu. hivi mtu kama huyu nimfanyanyaje ? naomba ushauri hata wa kisheria . Juzi nilimwambia mwalimu mkuu tukamwekea kikao akamuonya na yeye akasema hatonisumbua sasa naona anaendelea mi nikiwa na bf. ushauri pls

Edit Reply Report Post
 
Walim bhana matatizo kila kona hadi mapenzi kwani ni kforce kama hataki nenda katongoze wanafnzi mzeeeeeeee
 
Mbona kama unamdhalilisha mwalimu mwenzako mdada! Hata kama anakuharibia ndio uje kumsema kwenye mitandao? Haipendezi kabisaa.
 
Reactions: SG8
Mbona kama unamdhalilisha mwalimu mwenzako mdada! Hata kama anakuharibia ndio uje kumsema kwenye mitandao? Haipendezi kabisaa.

tatizo msumbufu saana nafanya mpango wa kupata photo ake niiweke pia
 
Kuna aina nyingi za haki za binadamu. Mtu ana haki ya kupenda, (2). Haki ya kujieleza (Kutongoza) 3.Haki ya kukubali au kukataliwa. Pamoja na hayo, naye ana Haki ya kifichiwa siri, sidhani kama inapendeza kutaja jina la mtu na mbaya zaidi hata anwani yake, kwa maana ya mkoa, wilaya, kijiji, kazi yake, na shule anayofundisha. Hii ni kumvua nguo na utu wake katika haki yake ya kupenda, hata kama siungi mkono vitendo vyake vya kubaka mapenzi. Mapenzi ni hiari, pande zote mbili zihiari kuingia katika mahusiano ya aina hiyo. Wakati mwingine upande mmoja huwa hauoni kuwa umetendewa haki kukataliwa. Hiyo ndiyo inayomtokea mwalimu. na ingebidi hatua za kijamii, ikiwa ni pamoja na kuendelea kumsihi mwalimu mkuu aendelee kumuonya, zitumike, na ni kweli alikosea sana kuingilia mapenzi yenu na bf wako. Huo ndio ubakaji wa mapenzi. Pole sana kwa kuingiliwa katika haki yako ya kupenda.
 

mm kilichoniudhi zaidi ni kwamba yeye anafikiri ana haki zaidi ya kufanya anavotaka kwangu,,, coz bf alivopiga cm aliona jina lake na niliwahi kumwambia kwamba nna mtu angu anaitwa hivo ndo mana cwez kua nae. yeye alitumia hiyo nafasi kutaka mm nionekane malaya afu ucku huo huo alimtumia text kwamba tumelala wote , just imagine jana tena anambip bf anamtumia text za kejeli eti anisalimie .
 
Pole sana kwa kuingiliwa hako yako ya kupenda. Unao uhuru wa kupenda mtu unayempenda, na hakuna mtu mwenye haki ya kuingilia mapenzi yenu. Huo ni ubakaji wa mapenzi. anachokifanya, hakuna mtu yeyote anayeweza kukiunga mkono, na hata hivyo, uombe Mungu, huyo bf wako awe mwelewa, vinginevyo huyo jamaa anaweza kukuvurugia mapenzi yenu. Hapo una haki zote.
Tukija kwa upande wa pili, Una haki ya kuomba ushauri kwa jamii, na hasa hapa jf, ambapo wengi wamefanikiwa kushauriwa. Ushauri huu ungeupata toka kwa wengi (Naamini wapo wazoefu zaidi yangu humu jf) bila hata kumtaja jina huyo ambaye naamini ni limbukeni wa mapenzi. Kumtaja jina na anwani, nadhani kijamii, atadhalilika sana (Ingawa kweli anastahili kudhalilika). Kubwa tu, ungetoa maelezo bila kumtaja jina. Huu ni ushauri wangu.
 

pole sana kwa usumbufu wote,

ushauri; Kwa kuwa hatujui siri yake mutual baina yenu yenu kabla hamjagombana huna haki kumuanika hapa

pili kwa kuwa na wewe umeamua kutokuwa nae hana haki kulazimisha wewe unachotakiwa kufanya ni kukaa kimya

huna haja kumjibu wala kumhusisha na boy yyte utakae kuwa nae, najua huyu unaemtaka wwe atapoteza uaminifu kwako

kwa sabb amehsahisi wwe ni kicheche.

ombi langu, walimu ombeni nafasi mkasome inaonyesha bado unahitaji kujikomboa hakuna wakukukomboa

mwisho
 
Mbona kama unamdhalilisha mwalimu mwenzako mdada! Hata kama anakuharibia ndio uje kumsema kwenye mitandao? Haipendezi kabisaa.
Utoto unamsumbua. Mwanamke bila kutongozwa si nasikia huwa mnachanganyikiwa bhana eti annastazy?
 
Last edited by a moderator:
Kusoma sio kukombolewa mnsakankanmusa, huo ni ulimbukeni tu wa mtu! kwani mwanamke yuko mmoja??? kutoswa ndio uanaume wenyewe......., madam we mpotezee but mueleze huyo bf wako km ni muelewa yatakwisha tu!
 
Pole sana mdada but siyo kihivyo sana wewe potezea tu na infact umeongeza idadi ya kutokewa au sio?
 
Hii mimi hainiingii akilini, we sema mlibanjuana wkt mnaenda kuripot kuanza kazi hrf mkashindwa kucopy ndo ukaamua urudi kwa kidume chako cha zamani, hakuna men wa dizain hiyo usemayo. Kwani we una uzuri zaidi ya ule wa Jokate a.k.a Kidoti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…