johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,000
- 143,680
Watu kibaoYupo kwenye semina?Anakusanya mikusanyiko ya watu?!
Hawa matapeli kumbe bado wapo na kushindwa kuponyesha corona? Ona linavyopotosha , plague/Tauni inaletwa na bacterium Yersinia pestis , corona ni virus, wapi na wapi!Mwalimu Mwakasege amesema wanadamu wanapaswa kujihoji ni wapi tumemkosea Mungu kisha tutubu na kumrudia.
Mwakasege amesisitiza kuwa hii Corona siyo mpya bali ni ile Tauni iliyosemwa katika Biblia takatifu.
Mwalimu Mwakasege amesema hayo wakati wa semina inayoendelea huko Njiro Arusha na kesho ndio siku ya kufunga semina.
Source Upendo tv!
Umepotea na wewe tauni ni plague na ulishawatandikaga ulaya enzi hizoHii sio Tauni. Aache kudanganya watu.
Tauni ni Anthrax kwa kimombo, hili ni gonjwa lingine kabisa.
Unforgetable
Kwanza tauni ni plague sio corona na kama hii hali ya sasa ndo hio iliyotabiriwa.......Mwalimu Mwakasege amesema wanadamu wanapaswa kujihoji ni wapi tumemkosea Mungu kisha tutubu na kumrudia.
Mwakasege amesisitiza kuwa hii Corona siyo mpya bali ni ile Tauni iliyosemwa katika Biblia takatifu.
Mwalimu Mwakasege amesema hayo wakati wa semina inayoendelea huko Njiro Arusha na kesho ndio siku ya kufunga semina.
Source Upendo tv!
Corona siyo tauni waache kulisha watu matangopori.Mwalimu Mwakasege amesema wanadamu wanapaswa kujihoji ni wapi tumemkosea Mungu kisha tutubu na kumrudia.
Mwakasege amesisitiza kuwa hii Corona siyo mpya bali ni ile Tauni iliyosemwa katika Biblia takatifu.
Mwalimu Mwakasege amesema hayo wakati wa semina inayoendelea huko Njiro Arusha na kesho ndio siku ya kufunga semina.
Source Upendo tv!
Anthrax ni sotoka,Tauni ni plagueHii sio Tauni. Aache kudanganya watu.
Tauni ni Anthrax kwa kimombo, hili ni gonjwa lingine kabisa.
Unforgetable
Hicho ni kimeta mkuuHii sio Tauni. Aache kudanganya watu.
Tauni ni Anthrax kwa kimombo, hili ni gonjwa lingine kabisa.
Unforgetable